figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,715
- 59,251
Watu wanne wafariki Dunia na mmoja ajeruhiwa katika ajali ya barabarani Mkoa wa Lindi katika kijiji cha Likahakwa, kata ya Kitomanga.
Kati ya watu waliofariki watatu ni wanawake na mmoja ni muuguzi wa zahanati ya Mtumbukile.
Waliofariki walikuwa kwenye gari ndogo aina ya Haice inayofanya safari zake kutoka Kiranjeraneje wilaya ya Kilwa kwenda Lindi.Ambayo iligongana na lori.
Kati ya watu waliofariki watatu ni wanawake na mmoja ni muuguzi wa zahanati ya Mtumbukile.
Waliofariki walikuwa kwenye gari ndogo aina ya Haice inayofanya safari zake kutoka Kiranjeraneje wilaya ya Kilwa kwenda Lindi.Ambayo iligongana na lori.

