Balungi
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 229
- 151
nafurahi sana ninaposikia mheshimiwa jk akiongea,...............
msisitizo, mkazo na bashasha kuonesha anaweza ,vinashamiri katika hotuba zake.
wenzako halmashauri ya lindi? (v) unakijua walichokifanya baada ya kuwaambia ni marufuku kuhamisha mtumishi bila kumlipa?
wamewaandikisha barua za madai za haraka haraka watumishi wao, kwa sasa wanasubiri tamko jingine linalosema sasa lipa............. Wawalipe,
ama sivyo itakuwa kama vile unavyosemaga mwenyewe kuwa
" tupo kwenye mchakato, tupo mbioni, tunafanya visibility study n.k."
:a s 103:mheshimiwa matamko yake ni kwa ajili ya wapambe kushangilia.
anafuatilia?
mwambieni awe serious
msisitizo, mkazo na bashasha kuonesha anaweza ,vinashamiri katika hotuba zake.
wenzako halmashauri ya lindi? (v) unakijua walichokifanya baada ya kuwaambia ni marufuku kuhamisha mtumishi bila kumlipa?
wamewaandikisha barua za madai za haraka haraka watumishi wao, kwa sasa wanasubiri tamko jingine linalosema sasa lipa............. Wawalipe,
ama sivyo itakuwa kama vile unavyosemaga mwenyewe kuwa
" tupo kwenye mchakato, tupo mbioni, tunafanya visibility study n.k."
:a s 103:mheshimiwa matamko yake ni kwa ajili ya wapambe kushangilia.
anafuatilia?
mwambieni awe serious