Head prefect
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 225
- 108
Hadithi ina tufundisha nini?
Hivi hao mababu zenu wangelikuwa ni watu wa mapenzi ya dhati....kwa nini walikuwa na ndoa za mitala??
kwani mitala inaondoa mapenzi ya dhati?
Hivi hao mababu zenu wangelikuwa ni watu wa mapenzi ya dhati....kwa nini walikuwa na ndoa za mitala??
Yaani unataka kutuambia current matatizo ya mapenzi kama ku cheat,watoto kubambikiwa,watoto wa nje ya ndoa,wanaume kugegeda ma housegirl na mama kugegeduliwa na ma house boy hiyo ndo SOLUTION(2x6)?come on...man be serious
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
kwani mitala inaondoa mapenzi ya dhati?