du!aweke vipande vya barafu pale moto unapozidi majivu.
Naam, mtu akishusha moja moja mnasema oooh jamaa doro, sasa jamaa anapiga double attack mnamwona muuaji.
ninyi wanawake mkoje jamani?? si musmhauri mwenzenu anunue yale mafuta ya kulainishia mitambo ili kusaidia mwendo kasi na vurugu za msuguano????
hongera zake huyo bazazi anapiga ligwaride kwa sababu zooote
Hivi hawa wanafanya romance kweli au jamaa akifika anasokomeza tu maana hiyo inaweza kuwa sababu ya Mama kulalamaacha zako wewe
ndo umdandie na kumsugua mwenzako km unasugua sufuria yahusu?
yaan uyo mwanaume hana huruma ...manake ata akiambiwa anaumia yeye walahaon yeye ANAJALI STAREHE ZAKE TU BILA KUJUA UCHUNGU NA MAUMIVU YA MWENZAKE
ahhh ayo si mapenz bwna ebu amwambie mumewe ...sasa anaenjoy nin apo?dah ata km ndoa si kiivo....dah apana
usidanganyike kimbweka, kama wa kutoka nje atatoka tu maana unaweza ukawa umamsugua mara tatu na bado hajafika kileleni anakuridhisha wewe tu.kwani mashindano haya jamani?:A S angry:Hii ndo inatakiwa yaani hapo mwanamke kutokana na mapigo anayopewa hawezi kuwa na hamu ya kutoka out na majamaa mengine
Hii poa sana
simika musisi...................
Habari za masiku wanaJF wenzangu! Nashukuru mola tumeamka salama salmin....
Kama ilivyo ada kwa Mama kubwa kusakanya ushauri huku na kule pale anapofwatwa na jamii inayomzunguka. Pindi niliporudi safari akaja mwanadada mtanashati kwangu akiomba ushauri afanye nini maana anaona maji yamezidi unga. Mwanadada huyu ameolewa yapata miaka mitatu hivi iliyopita na wamejaaliwa kupata mtoto mmoja anasema walipofunga ndoa walikuwa wanakutana kimwili na mumewe mara tatu kwa wiki...baada tu ya kujifungua mume anataka ligwaride mara tatu kwa usiku yaani kama dozi ya panadoli kama sio Asprini. Anaomba ushauri afanye nini maana wakati mwingine inamlazimu kwenda haja ndogo kwanye ndoo ya maji kupooza huko maana ni hakufai jamaa amemsugua hasa. Nawaombeni tumshauri huyu mama afanyenini kwani ndo ipo mashakani na akikataa kipondo kinafuata
Halafu hapo inaonekana no ROMANCE at all wakikutana ni mikito kwenda mbele
Habari za masiku wanaJF wenzangu! Nashukuru mola tumeamka salama salmin....
Kama ilivyo ada kwa Mama kubwa kusakanya ushauri huku na kule pale anapofwatwa na jamii inayomzunguka. Pindi niliporudi safari akaja mwanadada mtanashati kwangu akiomba ushauri afanye nini maana anaona maji yamezidi unga. Mwanadada huyu ameolewa yapata miaka mitatu hivi iliyopita na wamejaaliwa kupata mtoto mmoja anasema walipofunga ndoa walikuwa wanakutana kimwili na mumewe mara tatu kwa wiki...baada tu ya kujifungua mume anataka ligwaride mara tatu kwa usiku yaani kama dozi ya panadoli kama sio Asprini. Anaomba ushauri afanye nini maana wakati mwingine inamlazimu kwenda haja ndogo kwanye ndoo ya maji kupooza huko maana ni hakufai jamaa amemsugua hasa. Nawaombeni tumshauri huyu mama afanyenini kwani ndo ipo mashakani na akikataa kipondo kinafuata