Librarian anahitajika

Librarian anahitajika

Status
Not open for further replies.

Enno Temba

Member
Joined
Sep 30, 2015
Posts
29
Reaction score
6
Habari wana jamii forum, Natumani mu wazima.
Kama wewe au una mtu yeyote anaweza kufanya kazi maktaba mwenye sifa zifuatazo.
1. Awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea
2. Awe mchapakazi (kufanya kazi bila kusimamiwa)
3. Mwenye uzoefu kwanzia mwaka mmoja na kuendelea atapewa kipaumbele
4. Mwenye umri wa miaka 20 na kuendelea
5. Awe tayari kufanya kazi mkoa wa kilimanjaro
6. Kuhusu malipo tutakubaliana kabla ya kuanza kazi.
7. Mwenye sifa tajwa hapo tuwasiliane. Asanteni


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hili tangazo halija kamilika halina namba ya simu

I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom