Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Dah, inasikitisha sana
Ndio maana nilikuwa naona watu wanaagiza wali nyama, wanakula vijiko viwili tu, kisha wanatupa msosi na sahani zake kwa dastibini
Kuna binti kaagiziwa kuku rosti mzima na sponsa/ baba yake, katafuna upaja, kasukumia kwenye ndoo ya taka
Nimeagiza wali mkavu na maziwa mgando. Nimemaliza kula nikaletewa bill inayosoma Tsh. 70,000.
Nimeilipa japo kwa mbinde. Sasa hivi nipo hapa nje ya hotel nang'ata kucha. Mwili wote umepoa
Nifanyeje?
Ndio maana nilikuwa naona watu wanaagiza wali nyama, wanakula vijiko viwili tu, kisha wanatupa msosi na sahani zake kwa dastibini
Kuna binti kaagiziwa kuku rosti mzima na sponsa/ baba yake, katafuna upaja, kasukumia kwenye ndoo ya taka
Nimeagiza wali mkavu na maziwa mgando. Nimemaliza kula nikaletewa bill inayosoma Tsh. 70,000.
Nimeilipa japo kwa mbinde. Sasa hivi nipo hapa nje ya hotel nang'ata kucha. Mwili wote umepoa
Nifanyeje?