Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Nilivomaliza six ndio nilitolewa bikra na huyu hausigel wetu kabla ya hapo nilikua chaputa damu damu.
Aisee nilinenepa sana likizo ile, nilikua najipigia muda wowote naotaka.alikua ananipenda kupita maelezo had bimkubwa alikuja shtukia.
Maneno yasiwe meng leo nilikua sokon nanunua mahitaj.mboga mboga nini vitunguu n.k pale kwenye soko letu pendwa maeneo ya Tangi Bovu
Mara nkaskia naitwa kaka napoleone kugeuka namuona X mke wangu ..tumepiga story sanaa..anasema hajaolewa ila anaish na mtu ana watoto wa3.
Though akanipiga kizinga hapohapo et Afadhal leo sikosi hela ya skukuu..daah bila hiyana nkazama nkatoa 40 ya fasta ..maswal yakawa meng nkaona imetosha ngoja nimwache maana alikua anaelekea kuniomba namba..anaishi kawe et nikamtembelee nione watoto wake..nkasema duh
Uzi tayar
Ila amekua mmama kwel wanawake mnazeeka haraka duh
Aisee nilinenepa sana likizo ile, nilikua najipigia muda wowote naotaka.alikua ananipenda kupita maelezo had bimkubwa alikuja shtukia.
Maneno yasiwe meng leo nilikua sokon nanunua mahitaj.mboga mboga nini vitunguu n.k pale kwenye soko letu pendwa maeneo ya Tangi Bovu
Mara nkaskia naitwa kaka napoleone kugeuka namuona X mke wangu ..tumepiga story sanaa..anasema hajaolewa ila anaish na mtu ana watoto wa3.
Though akanipiga kizinga hapohapo et Afadhal leo sikosi hela ya skukuu..daah bila hiyana nkazama nkatoa 40 ya fasta ..maswal yakawa meng nkaona imetosha ngoja nimwache maana alikua anaelekea kuniomba namba..anaishi kawe et nikamtembelee nione watoto wake..nkasema duh
Uzi tayar
Ila amekua mmama kwel wanawake mnazeeka haraka duh