Aventus
JF-Expert Member
- Mar 8, 2013
- 1,914
- 1,977
Habari za saiz wana jamvi???
Baada ya kuacha sigara na ganja zaidi ya miaka kumi kuna kipindi nimekua mpweke sana nikajichanganya na marafiki nikakuta naangukia katika matumizi ya cha bibi(black poweder,engusugii,mababo,ubuge,ubuyu n.k)Yapata miaka miwili sasa natumia kisiri hata alienifundisha ajui kama naendelea kutumia na nimejitahidi kuacha nimeshindwa..Niende kwenye mada nisiwachoshe...
Leo nashuka tu kwenye basi la mkoani.Nawaona wamasai nikasema moyoni wacha nichukue kabisa stock nikifika ghetto nashtua mana nina arosto sana..
Sijui ikawaje masai akanishawishi nitest kama ni mkali mana alikua anausifia.Tamaa na Arosto nikautest.Uwezi amini funda la ugoro mdomoni,kibunda cha ugoro mkononi halaa haula bae huyu hapa.Duuuuh.
Kiukweli nilimwambia ni dawa ya jino ila mpaka sasa hajazungumza lolote.
Baada ya kuacha sigara na ganja zaidi ya miaka kumi kuna kipindi nimekua mpweke sana nikajichanganya na marafiki nikakuta naangukia katika matumizi ya cha bibi(black poweder,engusugii,mababo,ubuge,ubuyu n.k)Yapata miaka miwili sasa natumia kisiri hata alienifundisha ajui kama naendelea kutumia na nimejitahidi kuacha nimeshindwa..Niende kwenye mada nisiwachoshe...
Leo nashuka tu kwenye basi la mkoani.Nawaona wamasai nikasema moyoni wacha nichukue kabisa stock nikifika ghetto nashtua mana nina arosto sana..
Sijui ikawaje masai akanishawishi nitest kama ni mkali mana alikua anausifia.Tamaa na Arosto nikautest.Uwezi amini funda la ugoro mdomoni,kibunda cha ugoro mkononi halaa haula bae huyu hapa.Duuuuh.
Kiukweli nilimwambia ni dawa ya jino ila mpaka sasa hajazungumza lolote.