Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,198
Jana nilikuwa maeneo flani hivi night nilipiga ugari na nyamaa ya kukaanga plus juice ya baridii(ile ya kutengeneza) bila kusahau kilevi changu cha papuchi iliyonona
Leo sijatoka home tangu asubuhi, nimeshaenda Chooni mara 8, ya kwanza niliharisha kinyamaa na mpaka ya tatu,
Kufika ya 4 nikijisikia haja nikienda toilet nakunya nya ndogo alafu nakaaa muda mrefu toilet kitu hakitoki, kufika round ya 5 mpaka sasa nikienda toi nachuchumaa mpaka kinyeo kinauma,
Yaani mpaka uzi huu nimeandika hapa toi
Wakuu dawa pliz.
Cc Zero IQ
Leo sijatoka home tangu asubuhi, nimeshaenda Chooni mara 8, ya kwanza niliharisha kinyamaa na mpaka ya tatu,
Kufika ya 4 nikijisikia haja nikienda toilet nakunya nya ndogo alafu nakaaa muda mrefu toilet kitu hakitoki, kufika round ya 5 mpaka sasa nikienda toi nachuchumaa mpaka kinyeo kinauma,
Yaani mpaka uzi huu nimeandika hapa toi
Wakuu dawa pliz.
Cc Zero IQ
inaitwa network testing