Fimbo ya Musa
Member
- Jul 21, 2012
- 94
- 13
Jamani habari yenu wote mnaosoma bandiko hili. Kauli hapo juu niya doctor kwenye hospital moja kubwa huku mkoani ambayo ni tegemeo la wakazi wote wa wilaya yetu.
Mimi ninachouliza ni kwamba, wagomjwa hawaumwi siku za sikukuu? Na wengine nawaona wako serious kweli,je, wakafie majumbani kwao?
Naomba ushauri wenu hatua ya kuchukua kwani huku hospital tegemeo ndo hii hakuna kwingine.
Asante
Mimi ninachouliza ni kwamba, wagomjwa hawaumwi siku za sikukuu? Na wengine nawaona wako serious kweli,je, wakafie majumbani kwao?
Naomba ushauri wenu hatua ya kuchukua kwani huku hospital tegemeo ndo hii hakuna kwingine.
Asante