hahahahah naona una lako jambo......hizo zipo nchi kama USA, UK nk.mfano unataka uraia wa nchi fulani unafanya hivyo baada ya kipindi cha mkataba mnaachana.
hahahahah naona una lako jambo......hizo zipo nchi kama USA, UK nk.mfano unataka uraia wa nchi fulani unafanya hivyo baada ya kipindi cha mkataba mnaachana.
Fahamu kuwa ndio zimeingia TZ hivyo, na hii ndio tumeanza kuishuhudia. Josephine anajiatach kwa Slaa kutokana na political na economical reasons. Sidhani hapo kama kuna marriage inayotokana love!
WANAOJADILI PERSONAL ISSUES NI MABWEGE WAJIULIZE JK ANA VIMADA WANGAPI,KIMARA,MWANZA,MOSHI VYUO VIKUU;ANYWAY UKIBISHANA NA KICHAA NAWE UNAKUWA CHIZI.
:lalala:
Slaa anaoa? Haya Hongera mzee lakini kuwa mvumilivu maana maisha ya ndoa yana mikiki mingi sana. Ukishindwana na Josephine watasema umezoea una hila. Ndoa ndoana huwezi kuchomoka ukishaingia especially with your reputation na position kwenye society madame anakuwa na nguvu sana hata akifanya nini inabidi uvumilie tu kwa sababu za kisiasa.:happy:
Siamini kama Rais mtarajiwa wa M4Chagas ameoa wakati wazanzibar na watanganyika wakiwa na uchungu wa kufiliwa na jamaa zao! what a president, hivi alishindwa hata kusubirisha ?! lakini hata hivo tunaandika historia mpya ya kutoka katika uzinifu na kuelekea kula tundi kwa kuhalalisha !