madamu bahati
Member
- Dec 8, 2019
- 5
- 184
*Leo nataka kuongea na vijana walio safiri nje za nchi kufanya kazi na kuwaacha wake zao*
*Unakuta mtu ameoa weki tu ashasafiri mpaka baada ya miaka miwili kinachoendelea huku nyuma mungu mwenyewe Ndio ywajua kwani ni balaa bin belua*
*Kuoa kwenyiwe ameoa Mwanamke alikuwa na vyuo Kama vitatu hivi akashidwa wanne yeye na Kama nikibinti kilokuwa na vibofriend vyake kabla hata yeye Ndio unaona ameolewa mume kasafiri bado anazini na wengine subhanaAllah mimi hayo nimejionea Haswa*
*Labda niwambie kitu kaka zangu kwa karni hizi tulipo ni wanawake wachache mno wanao jiheshimu miili yao trust me wengi wao heshimu ziro na mtu akikosa heshima ndani Ya ndoa yake ni hasara*
*Usishangae upo huku unatafuta unamtumia pesa mujejenge yeye anakula na wanaume wengine hapo Ndio kwanini mtume alisema ogopa dunia na waogope wanawake,*
*Matatizo yote yanaletwa na kuwacha Dini kila mmoja ywataka wazuri madili hakuna kabisa manake Mwanamke mwenye Dini yake sidhani Kama anaweza toka nje ya Ndoa yake akaleta maradhi,*
*Nanyi wanaume Baadhi yenu huku Sio kwenu Sio Wewe miaka kumi Waenda ukirudi hujali hata hisia zawatoto wawatu alioliwa yupu Kama sofa tu lafutwa vumbi Mtu ywaendelea na shuhuli zake*
*Umeenda umejenga ushapata kautaji kabishara rudi uishi na familia yako Sio kila kukicha upo mbioni wadai bado watafuta Nani alikwambia pesa zatosha Mtu utatoshika na sanda na ubao tu.*
*TAFAKARI*
*Unakuta mtu ameoa weki tu ashasafiri mpaka baada ya miaka miwili kinachoendelea huku nyuma mungu mwenyewe Ndio ywajua kwani ni balaa bin belua*
*Kuoa kwenyiwe ameoa Mwanamke alikuwa na vyuo Kama vitatu hivi akashidwa wanne yeye na Kama nikibinti kilokuwa na vibofriend vyake kabla hata yeye Ndio unaona ameolewa mume kasafiri bado anazini na wengine subhanaAllah mimi hayo nimejionea Haswa*
*Labda niwambie kitu kaka zangu kwa karni hizi tulipo ni wanawake wachache mno wanao jiheshimu miili yao trust me wengi wao heshimu ziro na mtu akikosa heshima ndani Ya ndoa yake ni hasara*
*Usishangae upo huku unatafuta unamtumia pesa mujejenge yeye anakula na wanaume wengine hapo Ndio kwanini mtume alisema ogopa dunia na waogope wanawake,*
*Matatizo yote yanaletwa na kuwacha Dini kila mmoja ywataka wazuri madili hakuna kabisa manake Mwanamke mwenye Dini yake sidhani Kama anaweza toka nje ya Ndoa yake akaleta maradhi,*
*Nanyi wanaume Baadhi yenu huku Sio kwenu Sio Wewe miaka kumi Waenda ukirudi hujali hata hisia zawatoto wawatu alioliwa yupu Kama sofa tu lafutwa vumbi Mtu ywaendelea na shuhuli zake*
*Umeenda umejenga ushapata kautaji kabishara rudi uishi na familia yako Sio kila kukicha upo mbioni wadai bado watafuta Nani alikwambia pesa zatosha Mtu utatoshika na sanda na ubao tu.*
*TAFAKARI*