Ni simple..kabla hujataka kumuoa binti wa watu muwele wazi kuwa yeye peke yake hatakutosha so utakuwa na mke/wengine, trust me hutakosa ambae atakubaliana na matakwa yako,wapo wengi.Basi mturuhusu kuongeza mke
Ha haaa hongera sanaWakuu,
Mida ya saa 8 nikaamka nikazama toilet na simu ya wenyewe.
All in all sijaumia sana i think nilitegemea kukuta worse.
Ofcourse msgs huwa zinafutwa na chat kuwa archived. Nimekuta chat niliyokuwa naitaka ina msgs mbili za mahaba zilizotumwa kutoka upande wa pili saa 6 usiku. Nasikitika sijapata kuona reply za baby wangu huwa zinakuwaje.
Ila nimezireply mimi (nilichojibu nakijua mwenyewe ila nimetaka wote wawili wajue nilipitia hiyo chat)
Nimeamka kama hakuna lolote, nimeenda kazini na sasa niko njiani kurudi. Saa 7 mchana nilipigiwa simu ya kujuliwa hali nikajibu kwa bashasha kabisa.
I cant wait to look into his eyes maana najua kashajua...
NB: Wazee wa “loose balls” mmenichekesha hadi nikasahau maumivu kwa muda
wengine inachunguzwa ukishakolea na balimiSiku simu yangu ikichunguzwa nimekwishaaa....ila inapassword ambazo hata mimi nazisahau
Haya. Vema.yes mkuu,nilikuwa serious kabisa .Best of luck
Jamani hakuna anaemfahamu huyu kwini vii ajaribu kucheki nae hapo home? Hawezi kutuweka roho juu watu tangu jana hatujalala tunasubiri mrejesho!
Nimesikiliza asubuh Radio free matukio nisikie kama kuna mwanamke kajinyonga niwape taarifa mods wafanye kazi yao
ndio mkuu.Haya. Vema.
But, a question please; Have you ever think of doing such a thing to your "........"?
Asante sanaNipo Mkuu salama kabisa namshukuru Mwenyezi Mungu, ahsante sana kwa kujali.
Asante sana
Hapa lazima itakuwa tarime hapo....!Huyo hapo yuko anatafakari cha kufanya.View attachment 1639135
Ni simple..kabla hujataka kumuoa binti wa watu muwele wazi kuwa yeye peke yake hatakutosha so utakuwa na mke/wengine, trust me hutakosa ambae atakubaliana na matakwa yako,wapo wengi.
Hizo tabia ni za binadamu yoyote yule, hata nyie mnabadilika sana lkn tunawavumilia. Wengi tu wanabadilika baada ya ndoa, ndo maana hata sie tunatafuta suluhu nje ya mahakama, mmetufanya tuwe hivyo.Mwanzoni wakati mahusiano yanaanza, hua mnatuaminisha kwamba nyie mtatutosha maana kipindi cha uhusiano mpaka uchumba kila tukitaka chezo mnatugea kiroho safi na manjonjo kibao juu. Cha ajabu tukishawaoa na kuwaweka ndani mnaanza kutugeuzia migongo usiku, mnaanza kua na maumivu ya vichwa, migongo, tumbo, na uchovu usioisha. Kila tukiwagusa visingizio vinakua lukuki! Hapo ndio tunagundua kumbe mlituingiza chaka na ndio hapo tunaanza kutafuta suluhu nje ya mahakama.
Wakuu,
Mida ya saa 8 nikaamka nikazama toilet na simu ya wenyewe.
All in all sijaumia sana i think nilitegemea kukuta worse.
Ofcourse msgs huwa zinafutwa na chat kuwa archived. Nimekuta chat niliyokuwa naitaka ina msgs mbili za mahaba zilizotumwa kutoka upande wa pili saa 6 usiku. Nasikitika sijapata kuona reply za baby wangu huwa zinakuwaje.
Ila nimezireply mimi (nilichojibu nakijua mwenyewe ila nimetaka wote wawili wajue nilipitia hiyo chat)
Nimeamka kama hakuna lolote, nimeenda kazini na sasa niko njiani kurudi. Saa 7 mchana nilipigiwa simu ya kujuliwa hali nikajibu kwa bashasha kabisa.
I cant wait to look into his eyes maana najua kashajua...
NB: Wazee wa “loose balls” mmenichekesha hadi nikasahau maumivu kwa muda
Unajua Dilek, sisi wanaume hua tuna mahitaji machache sana kutoka kwenu. Kubwa likiwa ni hilo la kupewa vitu kunako 6x6. Mengine yoote tunyimeni lakini mkishaanza kutubania hapo, kwakweli mnakua mnatufukuza kabisa na lazima tuu hiyo huduma tutaenda kuitafuta kwingine.Hizo tabia ni za binadamu yoyote yule, hata nyie mnabadilika sana lkn tunawavumilia. Wengi tu wanabadilika baada ya ndoa, ndo maana hata sie tunatafuta suluhu nje ya mahakama, mmetufanya tuwe hivyo.
Mrejesho umeniumiza sana huu...anyway ni time ya wewe pia kumfanyia ubaya hata mara moja inatosha,Wakuu,
Mida ya saa 8 nikaamka nikazama toilet na simu ya wenyewe.
All in all sijaumia sana i think nilitegemea kukuta worse.
Ofcourse msgs huwa zinafutwa na chat kuwa archived. Nimekuta chat niliyokuwa naitaka ina msgs mbili za mahaba zilizotumwa kutoka upande wa pili saa 6 usiku. Nasikitika sijapata kuona reply za baby wangu huwa zinakuwaje.
Ila nimezireply mimi (nilichojibu nakijua mwenyewe ila nimetaka wote wawili wajue nilipitia hiyo chat)
Nimeamka kama hakuna lolote, nimeenda kazini na sasa niko njiani kurudi. Saa 7 mchana nilipigiwa simu ya kujuliwa hali nikajibu kwa bashasha kabisa.
I cant wait to look into his eyes maana najua kashajua...
NB: Wazee wa “loose balls” mmenichekesha hadi nikasahau maumivu kwa muda