alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Ni karibia wiki mbili sasa M/Kiti taifa (Chadema)na mbunge wa jimbo la Hai alitutaarifu kwamba baada tu ya kumaliza ziara jimboni kwake ataelekea mikoani kuendelea na ziara.
Naombwa kufahamishwa ni mikoa mingapi hadi sasa ameshahutubu na leo ziaraye ipo mkoa gani?
Karibuni.
Naombwa kufahamishwa ni mikoa mingapi hadi sasa ameshahutubu na leo ziaraye ipo mkoa gani?
Karibuni.