Mnafikiri nimeandika utumbo hata mimi napenda uhai wangu na kwa vile hiyo njia ni kijijini naipita kila siku nikienda kazini nimenunua helment yangu natembea nayo.
Mnaosema sanitizer niwaulize je unaweza paka sanitizer masikioni?
Kumbukeni hii sio ATM machine bank unapaka sanitiser mikono mlioponda wengi humu ni wa mazingira ya kimjini akili zako na za kuambiwa changanya