kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,128
- 16,102
Kurwa kachanganyikiwa, Doto ndio hajui hata pa kutokea. Wachambuzi wa mchongo wanawapa matumaini Masupu FC A.K.A misuli ammi rojo kuwa watapindua meza.
Huu ni uongo, ndio kwishnei. Hesabu zinakataa, hamfungi mwarabu hata mmoja sana atapata point 3 za wale waghana akichanya na 1 ni 4 ndio keshaaga mashindano. Lengo limetimia, maafisa habari badala ya kujikita kwenye weledi wapo kuwatia moyo mashabiki.
Pindi Manara alikuwa anaipa kila mechi slogan yake alikuwa na timu ya kweli.
Si hii ya mambo ya Kamwe na Privaldinho hujachungulia mechi maneno kibao mganga wa unguja kajitahidi kapata sare msimuwache!
Msiwache kuvaa misuli!
Huu ni uongo, ndio kwishnei. Hesabu zinakataa, hamfungi mwarabu hata mmoja sana atapata point 3 za wale waghana akichanya na 1 ni 4 ndio keshaaga mashindano. Lengo limetimia, maafisa habari badala ya kujikita kwenye weledi wapo kuwatia moyo mashabiki.
Pindi Manara alikuwa anaipa kila mechi slogan yake alikuwa na timu ya kweli.
Si hii ya mambo ya Kamwe na Privaldinho hujachungulia mechi maneno kibao mganga wa unguja kajitahidi kapata sare msimuwache!
Msiwache kuvaa misuli!