ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,056
- 49,743
Inashangaza kuona Lema eti Leo ndio anahoji Dar kuwa Jiji la hovyo lilolojaa Mafremu Kila mahala wakati huo Mji uliharibika kitambo sana.
Mara nyingi tumesema Moja ya Majiji ya hovyo kuishi ni Dar maana ukiacha Mafremu Kila sehemu pia ni kama dempo kubwa maana ni limji limejengwa kiholela na Lina mrundioano wa watu na harufu Kila mahala.
View: https://www.instagram.com/p/C09KrlYCmGo/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Swali.
Wakati Chadema mnaongoza Jiji la Dar Kuna initiative ipi mlifanya kuondoa Slums?
Mara nyingi tumesema Moja ya Majiji ya hovyo kuishi ni Dar maana ukiacha Mafremu Kila sehemu pia ni kama dempo kubwa maana ni limji limejengwa kiholela na Lina mrundioano wa watu na harufu Kila mahala.
View: https://www.instagram.com/p/C09KrlYCmGo/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Swali.
Wakati Chadema mnaongoza Jiji la Dar Kuna initiative ipi mlifanya kuondoa Slums?