arusha sema
Member
- Oct 18, 2013
- 14
- 0
Mh. Lema, mbunge wa Arusha mjini ameuliza swali bungeni ni lini mpango wa serikali wa kusambaza maji mkoa wa Arusha utatekelezwa?
Taarifa zinaonyesha wananchi wanaopata maji ni chini ya 38 %.
Taarifa zinaonyesha wananchi wanaopata maji ni chini ya 38 %.