Lema angetueleza alipo Mashinji kabla ya kutaka kujua alipo Kinana

security guard

JF-Expert Member
Sep 27, 2011
799
603
Mbunge wa Jimbo la Arusha mjini na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe Lema amesikika jana akizungumza bungeni kuwa anaitaka Serikali ieleze alipo Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahaman Kinana.

Jambo hili lina sura mbili kimtazamo;
1 - CCM ni chama pekee TANZANIA ambacho kinajumuisha maslahi ya kila Mtanzania, kiasi kwamba hata mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA anatamani kujua alipo na anachokifanya Katibu Mkuu wake. Ni dhahiri kuwa sio tu CHADEMA na Viongozi wao bali kila Mtanzania anayo hamu kama ya Lema...hii inathibitisha kuwa CCM ni muhimili muhimu kwa Taifa hili.

2 - Huu ni UTHIBITISHO mwingine kuwa CHADEMA inapoteza relevance kwa watanzania, no body cares nini kinaendelea kwenye chama hiko, kwani ni muda mrefu sasa Katibu Mkuu wake Ndg Mashinji hajaonekana wala kusikika lakini sio tu Watanzania hawana interest bali hata wanachadema wenyewe hawana muda wa kutaka kujua yuko wapi wala anafanya nini.

Watanzania wameendelea kuthibitisha kuwa CCM ni zaidi ya Chama cha siasa bali ni chombo muhimu na cha kipekee kinachodetermine maisha yao kama wananchi na kama Taifa.
 
Mbunge wa Jimbo la Arusha mjini na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe Lema amesikika jana akizungumza bungeni kuwa anaitaka Serikali ieleze alipo Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahaman Kinana.

Jambo hili lina sura mbili kimtazamo;
1 - CCM ni chama pekee TANZANIA ambacho kinajumuisha maslahi ya kila Mtanzania, kiasi kwamba hata mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA anatamani kujua alipo na anachokifanya Katibu Mkuu wake. Ni dhahiri kuwa sio tu CHADEMA na Viongozi wao bali kila Mtanzania anayo hamu kama ya Lema...hii inathibitisha kuwa CCM ni muhimili muhimu kwa Taifa hili.

2 - Huu ni UTHIBITISHO mwingine kuwa CHADEMA inapoteza relevance kwa watanzania, no body cares nini kinaendelea kwenye chama hiko, kwani ni muda mrefu sasa Katibu Mkuu wake Ndg Mashinji hajaonekana wala kusikika lakini sio tu Watanzania hawana interest bali hata wanachadema wenyewe hawana muda wa kutaka kujua yuko wapi wala anafanya nini.

Watanzania wameendelea kuthibitisha kuwa CCM ni zaidi ya Chama cha siasa bali ni chombo muhimu na cha kipekee kinachodetermine maisha yao kama wananchi na kama Taifa.
Ya kwanza ulikuwa sahihi lakini ya pili umechemka

CCM ni chama dola hivyo ni of interest kwa kila raia

Lema anajua aliko Mashinji ndio maana hakumuulizia
 
Sio watanzania,wote bali hao wew unaowataja au kuona ndo wanaiamini na maish yao kuwa determined na ccm tu.
 
Lowassa kapotea kwny Anga la Siasa kwa Muda mrefu kuliko Kinana lakin Bavicha hawana hamu wala shauku ya kujua alipo, hata Kanisani pale Azania Front haonekani Siku hizi

Lakini Nguvu zao wamezielekeza kujua alipo Jemedari wa Vita vya Uchaguzi wa zama zote Mh, X-Minister wa Ulinzi, X-MP wa Arusha Mjini Ndugu, Colonel , Comrade Afande Abdul Rahman Omar Kinanah Al habshy!

May Be Kinana ni Role model wa Bavicha Makao Makuu na Kina Lema Kimoyo moyo japo Absalom Kibanda alifukuzwa Tanzania Daima kwa kuwatahadharisha Chadema kuhusu Ujio wa Kinana kwny Ukatibu Mkuu 2012
 
Mbunge wa Jimbo la Arusha mjini na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe Lema amesikika jana akizungumza bungeni kuwa anaitaka Serikali ieleze alipo Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahaman Kinana.

Jambo hili lina sura mbili kimtazamo;
1 - CCM ni chama pekee TANZANIA ambacho kinajumuisha maslahi ya kila Mtanzania, kiasi kwamba hata mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA anatamani kujua alipo na anachokifanya Katibu Mkuu wake. Ni dhahiri kuwa sio tu CHADEMA na Viongozi wao bali kila Mtanzania anayo hamu kama ya Lema...hii inathibitisha kuwa CCM ni muhimili muhimu kwa Taifa hili.

2 - Huu ni UTHIBITISHO mwingine kuwa CHADEMA inapoteza relevance kwa watanzania, no body cares nini kinaendelea kwenye chama hiko, kwani ni muda mrefu sasa Katibu Mkuu wake Ndg Mashinji hajaonekana wala kusikika lakini sio tu Watanzania hawana interest bali hata wanachadema wenyewe hawana muda wa kutaka kujua yuko wapi wala anafanya nini.

Watanzania wameendelea kuthibitisha kuwa CCM ni zaidi ya Chama cha siasa bali ni chombo muhimu na cha kipekee kinachodetermine maisha yao kama wananchi na kama Taifa.
Mkuu ndo maana kuna hekima na upumbavu, Ungekuwa na hekima usingehoji alipo Mashinji, mwenyekiti wenu na mungu mtu wenu wa ccm amepiga marufuku mikutano ya upinzani na siasa zote za upinzani hadi 2020 na Mashinji si mbunge kiasi kwamba anaweza kusikika hata jimboni kwake, sasa unataka Mashinji afanye nini ili aonekane?
Tunamhoj kinana Kwa Sababu yeye ni Katibu wa chama dola ambacho kina uhalali kuliko vyama vyote (Kwa mujibu wa Nyie wenyewe)
Mna uwezo wa kuzunguka nchi nzima na hakuna wa kuwahoji wala kuwafanya lolote, ni nani atawagusa wakati majeshi yote yamo mifukoni mwenu?
 
fikiria kwanza kabla ya kuandika ivi kwa nn wanaccm hamnaga creative points saa zote nyinyi pumba tu kwa akili yako kama kinana akipotea chadema hawawezi kuuliza kwa sababu ni ccm kwa taarifa yako mashinji yuko ziara nchi nzima sema jingine
 
Jibu ni rahisi sana kwa nini Mh Lema anataka kujua Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, yuko wapi nalo ni kwamba kuna Chama kimoja tu cha Siasa, nacho ni CCM, vingine ni vyama vya shughuli kama vile asasi za kiraia (vimeundwa kwa maslahi nje ya kuongoza nchi)
 
Mbunge wa Jimbo la Arusha mjini na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe Lema amesikika jana akizungumza bungeni kuwa anaitaka Serikali ieleze alipo Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahaman Kinana.

Jambo hili lina sura mbili kimtazamo;
1 - CCM ni chama pekee TANZANIA ambacho kinajumuisha maslahi ya kila Mtanzania, kiasi kwamba hata mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA anatamani kujua alipo na anachokifanya Katibu Mkuu wake. Ni dhahiri kuwa sio tu CHADEMA na Viongozi wao bali kila Mtanzania anayo hamu kama ya Lema...hii inathibitisha kuwa CCM ni muhimili muhimu kwa Taifa hili.

2 - Huu ni UTHIBITISHO mwingine kuwa CHADEMA inapoteza relevance kwa watanzania, no body cares nini kinaendelea kwenye chama hiko, kwani ni muda mrefu sasa Katibu Mkuu wake Ndg Mashinji hajaonekana wala kusikika lakini sio tu Watanzania hawana interest bali hata wanachadema wenyewe hawana muda wa kutaka kujua yuko wapi wala anafanya nini.

Watanzania wameendelea kuthibitisha kuwa CCM ni zaidi ya Chama cha siasa bali ni chombo muhimu na cha kipekee kinachodetermine maisha yao kama wananchi na kama Taifa.
Kabisa mkuu, hivi huyo masizi yuko wapi kweli!?
 
Back
Top Bottom