Usisumbuke kumuuliza! Huyu 2013 alikuwa Arsenal ↓↓
2015 akawa Chelsea ↓↓
2019 yupo Leicester City.
But ninajaribu kutafuta kuanzia kipindi cha 2015 mpaka 2019 kama aliwahi kuhamia Liverpool na Man United.
2020 natarajia kumkutia Everton
Kiufupi hamana Mshabiki hapo bali pana mbabaishaji tu