Mm naangalia series nyingi sn karibia 10Yap iliendelea ,sasa hivi naisubiria into the badland ni nooumaa
Unapenda Merlin na seeker wachawi hao,wanafanya uchawi uonekane ni kitu kizur..ndugu isije ikakuingia roho yabkichawi binafsi nimequit kuzicheki hizi.Napenda movie za aina hiii hua zinanifurahisha sana nyingine ni Merlin hawa watu wanajua kuigiza kiukweli,pia story zao tamu balaa,,kwa aliewah kuziona hizi movie anajua namaanisha nini,sasa hawa wa kwetu wanavyoigiza jamani bora waache tu wafanye mambo mengine tu maana yanachefuaa,wakasome ikiwezekana kama wanataka kuigiza hawajui kabisa
Mi ntaendelea kuangalia hiz movie bana uzalendo my footView attachment 460209 huyu mzee kwenye picha hapa anaitwa zedd jina la uigizaji kaigiza vyema kabisa huo uchawi ,anachekesha,pia huyo seeker,na huyo dada confessor huchoki kuangaliaaa
Now nazoangalia...shooter...Ds...blacklist...blindspot...chicago pd...ransom...chicago fire....pure genius...chicago med..homelandMi sikumbuki,,,ni nyingi mno
Nasikia adi July ndio inatoka kweli maana ni shidahYap iliendelea ,sasa hivi naisubiria into the badland ni nooumaa
Amna iyoNimeona hadi 6 episode
Muv mbn ya zamani hiiNapenda movie za aina hiii hua zinanifurahisha sana nyingine ni Merlin hawa watu wanajua kuigiza kiukweli,pia story zao tamu balaa,,kwa aliewah kuziona hizi movie anajua namaanisha nini,sasa hawa wa kwetu wanavyoigiza jamani bora waache tu wafanye mambo mengine tu maana yanachefuaa,wakasome ikiwezekana kama wanataka kuigiza hawajui kabisa
Mi ntaendelea kuangalia hiz movie bana uzalendo my footView attachment 460209 huyu mzee kwenye picha hapa anaitwa zedd jina la uigizaji kaigiza vyema kabisa huo uchawi ,anachekesha,pia huyo seeker,na huyo dada confessor huchoki kuangaliaaa