Legacy hailindwi, legacy haitetewi, madaraja sio Legacy "Asanteni Sana Zimbabwe"

Ndio maana mimi nimesema MKapa simkubali kivile ila natambua Mchango wake
unataka myu afanye jambo gani ili ukubali mchango wake?

unajua sisi wa tz tunashindwa kuelewa kitu kimoja..!!

hakuna hata Rais mmoja hapa Bongo ambaye ni msafi kwa 100%

sasa inaskitisha sana kuona jopo la watu humu jukwaani kila siku wanamaliza bando kwa ajili ya kumponda mtu mmoja kana kwamba yeye ndio kiongozi pekee aliyeongoza nchi hii tangu tunapata uhuru

mbaya zaid kiongozi anayepondwa ndiye aliyefanya vizur kuliko viongozi wote hapa tz

serikali kuhamia Dodoma ilikuwa ni historia , tangu enzi za mwl lakini magu kaihamisha

kajenge ikulu Dodoma

Barabara zinazounganisha nchi na nchi sasa hv karibu zote zina lami

kajenga masoko na stand za kisasa karibu nchi nzima

kanunua ndege 13 tena cash money

kajenga madaraja

kanunua vivuko karibu maziwa 3 au 4

kafanya upanuzi wa bandar
uwanja wa ndege ile wa dar ile ternminal 3

kapunguza gharama za umeme

kajenga express way ile ubungo to kibaha

katoa elimu bule

kaijenga Dodoma na sasa imekuwa jiji

lakin bado kuna watu wanaona Magu hajafanya kitu hivi kweli mpo serious na mnachoongea au ndio chuki binafsi?

mnapoongelea mabaya ya mtu mkumbuke bas japo na mazuri yake sio mnapiga tu kelele kama mashabiki wa simba vile
 
Walinanwa,ulitaka wasiimbe Ili wauwawe?

Kwanza sijakuelewa, pili waliokaa kimya nao waliuwawa?

Kama unakubali kwamba walituhadaa Kwa maslahi yao, kitu gani kinakufanya uwaamini hata Sasa hawafanyi Kwa lengo lilelile la awali? Muda uraongea.

Kwani spika alipotoa maoni yake kuhusu deni kitu Gani kilimpata na Mama alitamka Nini hadharani?
 
Kwanza sijakuelewa, pili waliokaa kimya nao waliuwawa?

Kama unakubali kwamba walituhadaa Kwa maslahi yao, kitu gani kinakufanya uwaamini hata Sasa hawafanyi Kwa lengo lilelile la awali? Muda uraongea.

Kwani spika alipotoa maoni yake kuhusu deni kitu Gani kilimpata na Mama alitamka Nini hadharani?
Nimekwambia walifungwa midomo kwa vitisho ,wangefunguka wangeuwawa na Jiwe ndio maana wakajokuta wanaimba pambio tuu..

Saizi wako huru kukosoa na Rais amesema kosoeni ila kwa heshima bila kutukana.
 
unataka myu afanye jambo gani ili ukubali mchango wake?

unajua sisi wa tz tunashindwa kuelewa kitu kimoja..!!

hakuna hata Rais mmoja hapa Bongo ambaye ni msafi kwa 100%

sasa inaskitisha sana kuona jopo la watu humu jukwaani kila siku wanamaliza bando kwa ajili ya kumponda mtu mmoja kana kwamba yeye ndio kiongozi pekee aliyeongoza nchi hii tangu tunapata uhuru

mbaya zaid kiongozi anayepondwa ndiye aliyefanya vizur kuliko viongozi wote hapa tz

serikali kuhamia Dodoma ilikuwa ni historia , tangu enzi za mwl lakini magu kaihamisha

kajenge ikulu Dodoma

Barabara zinazounganisha nchi na nchi sasa hv karibu zote zina lami

kajenga masoko na stand za kisasa karibu nchi nzima

kanunua ndege 13 tena cash money

kajenga madaraja

kanunua vivuko karibu maziwa 3 au 4

kafanya upanuzi wa bandar
uwanja wa ndege ile wa dar ile ternminal 3

kapunguza gharama za umeme

kajenga express way ile ubungo to kibaha

katoa elimu bule

kaijenga Dodoma na sasa imekuwa jiji

lakin bado kuna watu wanaona Magu hajafanya kitu hivi kweli mpo serious na mnachoongea au ndio chuki binafsi?

mnapoongelea mabaya ya mtu mkumbuke bas japo na mazuri yake sio mnapiga tu kelele kama mashabiki wa simba vile
Vyote hivyo kama hujali utu wa watu ni bure..

MKapa ana shutuma za kuua watu Zanzibar na kufukia wengine kwenye migodi na wale wa muembe Yanga..

Kwani huwezi fanya hayo bila kuua? Mbona Samia anayafanya?
 
Nimekwambia walifungwa midomo kwa vitisho ,wangefunguka wangeuwawa na Jiwe ndio maana wakajokuta wanaimba pambio tuu..

Saizi wako huru kukosoa na Rais amesema kosoeni ila kwa heshima bila kutukana.

Wewe ndio umekuja na kutuelimisha kuhusu Legacy, Kwa vigezo vyako.
Hakuna mahala nimekosoa Kwa kutukana, na hua situkani kwanza.

Popote pale, likifanyika zuri ntapongeza na mambo yasipokua sawa ntakosoa. Nimekua hivyo awamu zote.
 
unataka myu afanye jambo gani ili ukubali mchango wake?

unajua sisi wa tz tunashindwa kuelewa kitu kimoja..!!

hakuna hata Rais mmoja hapa Bongo ambaye ni msafi kwa 100%

sasa inaskitisha sana kuona jopo la watu humu jukwaani kila siku wanamaliza bando kwa ajili ya kumponda mtu mmoja kana kwamba yeye ndio kiongozi pekee aliyeongoza nchi hii tangu tunapata uhuru

mbaya zaid kiongozi anayepondwa ndiye aliyefanya vizur kuliko viongozi wote hapa tz

serikali kuhamia Dodoma ilikuwa ni historia , tangu enzi za mwl lakini magu kaihamisha

kajenge ikulu Dodoma

Barabara zinazounganisha nchi na nchi sasa hv karibu zote zina lami

kajenga masoko na stand za kisasa karibu nchi nzima

kanunua ndege 13 tena cash money

kajenga madaraja

kanunua vivuko karibu maziwa 3 au 4

kafanya upanuzi wa bandar
uwanja wa ndege ile wa dar ile ternminal 3

kapunguza gharama za umeme

kajenga express way ile ubungo to kibaha

katoa elimu bule

kaijenga Dodoma na sasa imekuwa jiji

lakin bado kuna watu wanaona Magu hajafanya kitu hivi kweli mpo serious na mnachoongea au ndio chuki binafsi?

mnapoongelea mabaya ya mtu mkumbuke bas japo na mazuri yake sio mnapiga tu kelele kama mashabiki wa simba vile
Mkuu, achana na mwehu!!

Na ukimuuliza nini maana ya legacy hatokupa jibu, ni jitu lisilojielewa
 
Nimekwambia walifungwa midomo kwa vitisho ,wangefunguka wangeuwawa na Jiwe ndio maana wakajokuta wanaimba pambio tuu..

Saizi wako huru kukosoa na Rais amesema kosoeni ila kwa heshima bila kutukana.
Kwanini Hataki Mabango? Anaogopa Nini Hapo Na unasema kuna Uhuru
 
Legacy ya Mbowe ni kupambana na Halima Mdee
Freeman Aikaeli Mbowe Yuko mahali fulani hapa Tanzania huko duniani. Anaweza kupumua, anaweza kutembea, anaweza kula na hasa kunywa. Lakini cha msingi zaidi ni kuwa Freeman Aikaeli Mbowe anaweza kutabasamu in free air.
 
Unaongea Kitu Gani Wakati Kablock Mabango yeye Mwenyewe.
Na wewe ka block basi hayo mabango..

Legacy haitetewi 👇

IMG_20220514_005734.jpg
 
Mimi Nakuuliza Naomba Jibu Kwanini Hataki wananchi wamshikie mabango?
Wewe ndio hutaki labda,Rais alisema akifika Mkoa Y akakuta mabango ya KERO , Viongozi wa huko mnaondoka kama sio kulala mbere na nyie...

Angekuwa hataki angeongea hivi? 👇

Screenshot_20220514-215024.png


Screenshot_20220514-214932.png
 
unataka myu afanye jambo gani ili ukubali mchango wake?

unajua sisi wa tz tunashindwa kuelewa kitu kimoja..!!

hakuna hata Rais mmoja hapa Bongo ambaye ni msafi kwa 100%

sasa inaskitisha sana kuona jopo la watu humu jukwaani kila siku wanamaliza bando kwa ajili ya kumponda mtu mmoja kana kwamba yeye ndio kiongozi pekee aliyeongoza nchi hii tangu tunapata uhuru

mbaya zaid kiongozi anayepondwa ndiye aliyefanya vizur kuliko viongozi wote hapa tz

serikali kuhamia Dodoma ilikuwa ni historia , tangu enzi za mwl lakini magu kaihamisha

kajenge ikulu Dodoma

Barabara zinazounganisha nchi na nchi sasa hv karibu zote zina lami

kajenga masoko na stand za kisasa karibu nchi nzima

kanunua ndege 13 tena cash money

kajenga madaraja

kanunua vivuko karibu maziwa 3 au 4

kafanya upanuzi wa bandar
uwanja wa ndege ile wa dar ile ternminal 3

kapunguza gharama za umeme

kajenga express way ile ubungo to kibaha

katoa elimu bule

kaijenga Dodoma na sasa imekuwa jiji

lakin bado kuna watu wanaona Magu hajafanya kitu hivi kweli mpo serious na mnachoongea au ndio chuki binafsi?

mnapoongelea mabaya ya mtu mkumbuke bas japo na mazuri yake sio mnapiga tu kelele kama mashabiki wa simba vile
Kijana hatembei sana huko mikoani, yupo tu anazurula Dar, ila kwa sisi tunaozurula mikoani tunajua awamu ipi ilifanya nini na kwa kipindi gani.

Kama hajui hata barabara za kuingia wilayani kwa asilimia zote zimejengwa kipindi cha Magu, tena huko maeneo ni korofi kishenzi. Mahakama kila wilaya ili kupunguza mlundikano wa kesi zimejengwa kipindi cha Magu. Hata hizo ajira mpya za afya zimetokana na hospitali za Kila wilaya nyingi zilizoengwa kipindi cha Magu,nyingine chache bado kidogo kuishaila ujenzi unasuasua.

Bungeni wanapigizana Kelele kuhusu Chuma huko Ludewa, ila Magu alishaanza kuweka Mazingira ya uchimbaji, kajenga 50km barabara ya zege eneo korofi, kimebakia kipande kidogo ujenzi umesimama,sasa huyo mwekezaji hiyo Chuma ataisafirisha vipi,wakandarasi wapo wamepaki mabuldoza yao.Mtandao wa Umeme huko mikoani kipindi chake ndio ulikuwa kwa kasi ,ila siku hizi mzee wa Schedule Maintenance anatuletea zisizo na vitendo.

Bwawa la umeme lenyewe limesimama, daraja la wamu Mpaka Magu anakufa lilibaki 50% kumalizika, Mikoa ambayo ilikuwa haina ofisi ya wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa,zaidi 80% zimejengwa kipindi cha Magu.

Ila kama upo Dar hapa unazunguka hapa hapa UNA HAKI YA KUSEMA MAGU HAJAFANYA KITU, huyo jamaa mwacheni kwani yy mwenyewe kishajitambulisha ni timu SAMIA, hana anachokijua cha Magu zaidi ya Chuki, ila si wengine tumeona na hatuja simuliwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom