KingPower
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 1,143
- 1,886
Habarini wakuu, heri ya sikukuu ya IDD natumai sikukuu ileenda poa
Turudi kweny mada katika pita pita zangu mwezi wa tatu nilikua tunduma
Nikakuta wanauza Samsung LED TV inch 32 kwa Bei cheap sna
Model yke ni Samsung LED TV 32 inch (32FHM5000K).
Nikapata mashaka kidogo maana ata package yake haina jina la Samsung
Kwa Bei ya 260,000 ata kama tunduma vitu bei ni cheap inatia walakini tena kwa brand ya Samsung, ata Star X, hupati kwa bei hii
Wataalam tushauriane juu ya hii TV je ni OG au janja janja za watu karibuni wakuu kwa ushauri wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Turudi kweny mada katika pita pita zangu mwezi wa tatu nilikua tunduma
Nikakuta wanauza Samsung LED TV inch 32 kwa Bei cheap sna
Model yke ni Samsung LED TV 32 inch (32FHM5000K).
Nikapata mashaka kidogo maana ata package yake haina jina la Samsung
Kwa Bei ya 260,000 ata kama tunduma vitu bei ni cheap inatia walakini tena kwa brand ya Samsung, ata Star X, hupati kwa bei hii
Wataalam tushauriane juu ya hii TV je ni OG au janja janja za watu karibuni wakuu kwa ushauri wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app