Mwana Mtoka Pabaya JF-Expert Member Joined Apr 22, 2012 Posts 15,117 Reaction score 16,502 Nov 21, 2017 #2 Akiwashindwa njooni niwaombee kwa jina la Yesu
L lokomu JF-Expert Member Joined Apr 25, 2013 Posts 4,916 Reaction score 3,509 Nov 21, 2017 Thread starter #3 Mwana Mtoka Pabaya said: Akiwashindwa njooni niwaombee kwa jina la Yesu Click to expand... mkuu ameshindwa na anaendelea kushindwa
Mwana Mtoka Pabaya said: Akiwashindwa njooni niwaombee kwa jina la Yesu Click to expand... mkuu ameshindwa na anaendelea kushindwa
K Kifimbocheza JF-Expert Member Joined Aug 7, 2008 Posts 494 Reaction score 121 Nov 21, 2017 #4 Sasa hv ana bonge la Toyota Land Cruiser V8 , Ubunge raha sana............kashasahau shida kipindi kile alikuwa anagangaaa njaaa ya Uganga
Sasa hv ana bonge la Toyota Land Cruiser V8 , Ubunge raha sana............kashasahau shida kipindi kile alikuwa anagangaaa njaaa ya Uganga
bowlibo JF-Expert Member Joined Dec 10, 2011 Posts 3,209 Reaction score 2,920 Nov 21, 2017 #5 maisha ni mechi isiyo na sare, ni lazima uyashinde au yakushinde. najisikia vibaya kukaa kijiweni maana hata wazo la nianzie wapi nimalizie wapi silipati hongera profeseri kuhangaika kunalipa, Mungu hamtupi mja wake
maisha ni mechi isiyo na sare, ni lazima uyashinde au yakushinde. najisikia vibaya kukaa kijiweni maana hata wazo la nianzie wapi nimalizie wapi silipati hongera profeseri kuhangaika kunalipa, Mungu hamtupi mja wake