LCD v/s LED Tv


nimekusoma mkuu basi itakua ni macho yangu
 

mkuu unaweza kunipa hints za bei za hivyo vyote acha nijitose tena swala nataka vitu vizuri
inch39 samsung original na hizo hdmi cables nizifuate wape na kwa bei gani ili nisipigwe
 

vipi mdau projector aina gani nzuri kwa picha bora?
 

mdau projector gani nzuri kwa ubora wa picha?
 

mkuu, quality ya picha kwenye TV ni kama ifuatavyo
1. LED
2.CRT-CHOGO
3.PLASMA
4.LCD
5.REAR PROJECTION TV/PROJECTORS

Kabla ya LED....CRT a.k.a chogo bado ilikuwa inaongoza kwa ubora wa picha ikifuatiwa na PLASMA ndio maana wakaleta LED ndio imeipita chogo....hayo ma-4K...ULTRA HD ni muendelezo wa LED.
 

Kiukweli ni kwamba hata hizi LED tv zinatumia LCD technology ila tofauti ni matumizi ya backlight inayosababisha quality ya picha kuwa nzuri.
I'm yet to see a full LED TV. Zilizoko sokoni zote ni mix ya LED backlight na LCD screen. Ukitaka kuprove hili binya screen ya tv kwa kidole kama ni liquid based utaona inaweka kama wingu pale kwenye eneo unalobinya.
 
Niliiuza Lcd yangu ya LG baada ya kukaa nayo kwa muda wa wiki moja tu baada ya kugundua Chogo langu la Sony Wega lina picha tamu zaidi believe me or not!


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums app
 
Mchina si ndo hizo singsung.. Kama ukiona huzielewi vizuri bora ukanunue kwenye duka la samsung kabisa kama unapenda hiyo brand. The same applies to other brands.

singsung ni kampuni nyingine ambayo kwa soko la nchi za afrika zinafanya vizuri ila kati ya hizo hizo singsung kuna fake na original.
 
singsung ni kampuni nyingine ambayo kwa soko la nchi za afrika zinafanya vizuri ila kati ya hizo hizo singsung kuna fake na original.

Okay mkuu hapo at least umenipa kitu kipya. Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…