Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 366
- 1,378
Hili ongezeko la nauli limekuwa kero sasa na Makonda wanacheza na mziki wa viongozi wa LATRA ambao wao wana matumbo ya kushiba na familia zao
Huku Mwanza sijaona faida ya LATRA kuongeza nauli zaidi ya kero ya kuombwa shilingi mia mia " una mia hapo " ndo kauli za makondakta wa daladala za Mwanza.
Mia mia zinazoombwa na makondakta baada ya LATRA(CCM) kuongeza nauli kwa mwaka mara 2 chini ya mwenyekiti wao binti Samia Suluhu bin Hassan imekua kero mno kwa wasafiri.
Samia ongea na watendaji wako hasa wa sekta ya usafirishaji kama mmeamua kuongeza nauli za dalala muwape kabisa na chenji mia mia mnakera mno.
Huku Mwanza sijaona faida ya LATRA kuongeza nauli zaidi ya kero ya kuombwa shilingi mia mia " una mia hapo " ndo kauli za makondakta wa daladala za Mwanza.
Mia mia zinazoombwa na makondakta baada ya LATRA(CCM) kuongeza nauli kwa mwaka mara 2 chini ya mwenyekiti wao binti Samia Suluhu bin Hassan imekua kero mno kwa wasafiri.
Samia ongea na watendaji wako hasa wa sekta ya usafirishaji kama mmeamua kuongeza nauli za dalala muwape kabisa na chenji mia mia mnakera mno.