M'barikiwe mliomjibu lakini híi too much hadi vitu kama hivyo kuhitaji kupeleka kwa fundi vinaletwa humu ? Hata kutibiwa tutaka kutibiwa humu jf
sasa kazi ya jf ni nini? yaani wewe una gubu kwelikweli....hujaulizwa wewe then watu wamemsaidia wewe unatoka mapovu....shame to youM'barikiwe mliomjibu lakini híi too much hadi vitu kama hivyo kuhitaji kupeleka kwa fundi vinaletwa humu ? Hata kutibiwa tutaka kutibiwa humu jf