Computer nyingi used hapo kariakoo ni Computer zilizoshindikana yaani wamezipaka rangi Juu na na ile brand name kwenye computer kwa nje wameirudia kuiandika tena kwa rangi za kawaida.
Niliinua computer yangu mwaka Jana mwezi wa 6 ,kwa nje imeandikwa HP ila ndani kwenye "My Computer " imeandikwa Dell ..
Internal hard disc Kwenye Box lake ilikuwa imeandikwa Ni GB 350 , ila baada ya kuitumia Nilikuta Ni GB 200 , sasa hapo sijasema performance yake kwa ujumla ni mbovuuuuuuuuu sijapata ona. Mimi sio Mara ya kwanza kununua bidhaa za electronics kariakoo.
Ila nawashauri kama una hela acha kununua used computers kariakoo ni bora ununue Kitu kipya kabisa mbali na hivyo utakuja lia.
NB: Baadae nitaweza kukuwekea hizo picha mjionee