Laptop za bei rahisi

Laptop za bei rahisi

MrSocrates

Member
Joined
Sep 29, 2017
Posts
46
Reaction score
30
Mzigo mpya umeingia Jana duuka lipo Karakoo. Laptop kuanzia Laki 2 na elfu 80 ni used nje ya nchi.
Kwa Dar es salaam tunakuletea ulipo bure.

Mawasiliano piga: 0715514050

dc06190d03d78373bd0b9127765d48b4.jpg
7a2fc5eba74d58045e98f55c20a43182.jpg
3c3a603765c091bf5623d5f3094aafe4.jpg
1f10ccb30a59be892e0918a605c1e44a.jpg
9800ca01d055b3343b87b36996969acb.jpg
36e66a7adb4898aac3262b619d8f6403.jpg
 
Sawa tunakuja kuku ungisha kijana wetu
 
Nimenunua computer kariakoo Mara mbili nilichofanyiwa sitakaa nisahahu.


Natoa onyo kuweni makini sana na kariakoo ninajua janja nyingi sana wanazozifanya.
 
yalikukuta yapi? funguka
Computer nyingi used hapo kariakoo ni Computer zilizoshindikana yaani wamezipaka rangi Juu na na ile brand name kwenye computer kwa nje wameirudia kuiandika tena kwa rangi za kawaida.


Niliinua computer yangu mwaka Jana mwezi wa 6 ,kwa nje imeandikwa HP ila ndani kwenye "My Computer " imeandikwa Dell ..


Internal hard disc Kwenye Box lake ilikuwa imeandikwa Ni GB 350 , ila baada ya kuitumia Nilikuta Ni GB 200 , sasa hapo sijasema performance yake kwa ujumla ni mbovuuuuuuuuu sijapata ona. Mimi sio Mara ya kwanza kununua bidhaa za electronics kariakoo.


Ila nawashauri kama una hela acha kununua used computers kariakoo ni bora ununue Kitu kipya kabisa mbali na hivyo utakuja lia.


NB: Baadae nitaweza kukuwekea hizo picha mjionee
 
Computer nyingi used hapo kariakoo ni Computer zilizoshindikana yaani wamezipaka rangi Juu na na ile brand name kwenye computer kwa nje wameirudia kuiandika tena kwa rangi za kawaida.


Niliinua computer yangu mwaka Jana mwezi wa 6 ,kwa nje imeandikwa HP ila ndani kwenye "My Computer " imeandikwa Dell ..


Internal hard disc Kwenye Box lake ilikuwa imeandikwa Ni GB 350 , ila baada ya kuitumia Nilikuta Ni GB 200 , sasa hapo sijasema performance yake kwa ujumla ni mbovuuuuuuuuu sijapata ona. Mimi sio Mara ya kwanza kununua bidhaa za electronics kariakoo.


Ila nawashauri kama una hela acha kununua used computers kariakoo ni bora ununue Kitu kipya kabisa mbali na hivyo utakuja lia.


NB: Baadae nitaweza kukuwekea hizo picha mjionee

We kaka wewe, hizo mpya kabisa tunanunua wapi, si hapo hapo kariakoo???
ama unamaanisha twende Mliman City tukanunue maduka ya wazungu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom