Laptop yangu inazimika

Laptop yangu inazimika

Super Sub Steve

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
17,647
Reaction score
11,227
Nina Laptop aina ya HP 630 kila nikiiwasha nikiitumia kwa saa moja inazima na kila ninapowasha inaniandikia your WINDOW IS NOT GENUINE office ninayotumia ni ms 2013.je tatizo ni nini?
 
inahitaji service jaribu kuangalia kwe fan laxima kutakuwa na vumbi balaa safisha au nenda kwa mtaalamu akusafishie. kwani vp haichemki sana kisha leta feedback.
 
Unatumia windows gani? Pamoja na mambo mengine ambayo nahisi yatakuwa ni ya ki-hardware zaidi lakini pia windows unayotumia haikuwa activated au uli-activate na fake serials ndiyo maana microsoft wamei-detect kama siyo genuine na hivyo wataendelea kukusumbuwa na pengine hata kukutupia virusi.

Taja aina ya windows unayotumia kabla sijakushauri ukamuone fundi.

Nina Laptop aina ya HP 630 kila nikiiwasha nikiitumia kwa saa moja inazima na kila ninapowasha inaniandikia your WINDOW IS NOT GENUINE office ninayotumia ni ms 2013.je tatizo ni nini?
 
Mwanangu piga window mpya ndio solution ya tatizo lako. Otherwise piga blower machine yako huenda fan ya kwnye processor imeingia vumbi. Kwa hiyo aizunguki ipasavyo, prcssor inapata heat xana wakat wa kuprocess data. So ndio maana inazimaga.
 
Unatumia windows gani? Pamoja na mambo mengine ambayo nahisi yatakuwa ni ya ki-hardware zaidi lakini pia windows unayotumia haikuwa activated au uli-activate na fake serials ndiyo maana microsoft wamei-detect kama siyo genuine na hivyo wataendelea kukusumbuwa na pengine hata kukutupia virusi.

Taja aina ya windows unayotumia kabla sijakushauri ukamuone fundi.
Window 7 enterprise
 
Inawezekana hard drive ina matatizo mkuu data utalatibu WA kuicheki Kwa kutumia dock
 
Jaribu kupiga LOADER kuondoa hlo tatizo la window kutokua genuine
 
Back
Top Bottom