Laptop yangu inajizima nikiweka chaja

Laptop yangu inajizima nikiweka chaja

Joined
Mar 8, 2014
Posts
5
Reaction score
2
Wadau naombeni msaada nina laptop yangu aina ya DELL. LATITUDE D 620.nikiwasha bila ya kupachika chaja inawaka vizuri tu lakini nikipachika chaja hiyohiyo inazima hata ikiwa imewaka nikiweka chaja inajizima naombeni msaada wenu wadau
 
cha kufanya uwe unachaji pembeni ikiwa full unaondoa charger unatumia...naamini utahangaika sana hilo tatizo. kuna card karibu na cpu kwa kifupi ikiungua mara nyingi linatokea tatizo hilo kwa laptop.
kama laptop inakuwa na cpu 2(core 2 duo) ningekushauri uzime cpu moja na unatumia na charger bila tatizo...kwahiyo nakushauri chaji ukiwa umeizima kisha tumia
 
Nashukuru sana kwa ushauri wako ila naomba unieleweshe nazimaje hiyo cpu nyingine
 
Wadau naombeni msaada nina laptop yangu aina ya DELL. LATITUDE D 620.nikiwasha bila ya kupachika chaja inawaka vizuri tu lakini nikipachika chaja hiyohiyo inazima hata ikiwa imewaka nikiweka chaja inajizima naombeni msaada wenu wadau
nijibu haya maswali... je umejaribu adapter nyingine? je ukitoa battery na ukitumia adapter direct bado inajizima? je je hiyo adapter yako kwenye machine nyingine inafanya kazi vizuri, je hiyo battery kwenye pc nyingine haina tatizo? jaribu kufanya hizo test, tatizo likiendelea kuwepo ujue ni motherboard problem unichek kwa 0784234391, nikufanyie repair
 
Back
Top Bottom