hapo ishu sio window bali kitu cha kwanza ni kuangalia hy laptop yako kama ina web camera ksha unaweza kudownload cybercamera then utainstall na inaweza kufanya kazi unayoihitaji
Kama ni pc ya kisasa yenye webcam download na ku-install cyberlink youcam au webcam max.
Na kama pc yako haina webcam nenda maduka ya vifaa vya computer ununue external webcam ambayo inakuwa kama hii.
unaconnect kwenye pc yako via Usb then fanya utaratibu wa hapo juu utaweza kuchukua picha za mnato na video
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.