kaka usikimbilie kusema kila kitu ni cha mchina, hapa nimeweka kwa wale ambao wako willing kufanya biashara na mm so akija kuiona ndo atajua ni mchina au vp. shida unaishi kwa mazoea ndugu' funguka. hakuna kampuni mbili tu kama ulizozoe ww, or ulitaka nikwambie dell au hp. waachie wenye nia bingwa.