Laptop kali ya Lenovo inauzwa!!

Laptop kali ya Lenovo inauzwa!!

cleokippo

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2014
Posts
2,119
Reaction score
1,808
kwa anayehitaji laptop kali na ya kisasa tuwasiliane kupitia no 0715-546818 , laptop ipo katika hali nzur sana haina hata mchubuko , ni lenovo, core i7, ram 8gb, hard disk 500 gb, bei ni tsh 600000 haipungui!
 
ni pm no yako nikutumie tsup kama uko serious coz sio mtaalam sana wa kutumia jf sasa sijui kama nitaweza ku attach pic! ngoja nijaribu kutuma pic tuone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama ni kali inaweza kuwa inapiga na kuuma watu ndio maana jamaa naiuza na itafaa kwa ulinzi

SONY Xperia Z5 Premium
 
Nataka pc lkn ungeiweka apa niione..au alietumiwa pic atutumie apa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom