LapTop inakula sana mb nifanyeje?

LapTop inakula sana mb nifanyeje?

teac kapex

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
470
Reaction score
137
Kama nilivyoseMa hapo juu nina laptop aina ya Microsoft surfaceGo ina windows 10, ninapotaka kuiNgia kwenye mtandao huwa natumia WIFI au USB TITHERING kuunganisha network toka kwenye simu. Lahaula jana nimeNunua gb 1 ndani ya dk 20 zikawa zimebaki mb 480. Sasa nifanyeje kuzuia au kupunguza ulaji?
 
Umeset iwe inajiupdate kila ukiunganisha na WiFi, hvyo nakushauri nenda kwenye setting na uondoe hiyo.
 
KaMa nilivyoseMa hapo juu nina laptop aina ya Microsoft surfaceGo ina windows 10, ninapotaka kuiNgia kwenye mtandao huwa natumia WIFI au USB TITHERING kuunganisha network toka kwenye simu. Lahaula jana nimeNunua gb 1 ndani ya dkk 20 zikawa zimebaki mb 480. Sasa nifanyeje kuzuia au kupunguza ulaji?
Kuna windows updates zinajarb kudownload. Bonyeza sehem ya wifi, then bonyeza hyo network uliyoconnect, then bonyeza properties. Itafungua settings zake, scroll mpk chini utaona sehem imeandikwa "set as metered connection", weka hyo na haitakuja kudownload updates tena
 
Nimeweka hiyo metered connection on lkn bado inakula sana, nini kingine nifanye?
 
Kama nilivyoseMa hapo juu nina laptop aina ya Microsoft surfaceGo ina windows 10, ninapotaka kuiNgia kwenye mtandao huwa natumia WIFI au USB TITHERING kuunganisha network toka kwenye simu. Lahaula jana nimeNunua gb 1 ndani ya dk 20 zikawa zimebaki mb 480. Sasa nifanyeje kuzuia au kupunguza ulaji?
Na Mimi nilishapata hiyo adha hasa kwenye window 10 nilijaribu NJIA zote kuzuia bila mafanikio mwisho WA siku nilibadili windows now natumia 8.1 pro GB moja naperuzi wiki nzima
 
Kama nilivyoseMa hapo juu nina laptop aina ya Microsoft surfaceGo ina windows 10, ninapotaka kuiNgia kwenye mtandao huwa natumia WIFI au USB TITHERING kuunganisha network toka kwenye simu. Lahaula jana nimeNunua gb 1 ndani ya dk 20 zikawa zimebaki mb 480. Sasa nifanyeje kuzuia au kupunguza ulaji?
...
Kuna habari kwamba vijana wa Bill wameyakoroga.
Mie nililambwa giga 4 kwa ttcl, nikafikilia nimekuwa Hotspot, nikaongeza bundle jingine la buku la 4g ili niwabaini machizi wangu, nazo zikaenda.
Win 10 niliyo nayo haina settings za updates ...
Natumia Ubuntu kwa internet, haina upuuzi wa win ...
...
 
Nimeweka hiyo metered connection on lkn bado inakula sana, nini kingine nifanye?
Possibility ni kua windows yako ni version ya zaman na PC ina force ku update. Weka bundle la usiku (halotel buku jero bila kikomo) then iache laptop i update usiku (toa sleep after X minutes iwe never)
 
Ukishaconnect huyo internet yako na pc. Nenda kwa setting za internet kwenye pc then turn on sehemu iliyoandika metered connection. Hapo itakula kwa ulichokitumia tu hata kama updates ziko on hazitagisa bundle lako
 
Na Mimi nilishapata hiyo adha hasa kwenye window 10 nilijaribu NJIA zote kuzuia bila mafanikio mwisho WA siku nilibadili windows now natumia 8.1 pro GB moja naperuzi wiki nzima
aiseeee....sijawahi kushawishika kuhama 8.1...yaani nipo addicted kabisaaaa...na mitandaoni natumia moderm ila bundle linaenda kawaida sana..kwa mfano kama sasa hivi nipo online dakika ya 14 hivi ila mb zimeenda 4 tu..
 
Ukiweza unga bundle la usiku acha imalize maupuuzi yake yote.
Ila unaweza maliza kila kitu ila bado baada ya siku mbil inadai tena update. Hawa Microsoft wasumbufu sana.
 
Nenda kwenye Windows update, advanced setting kunaoption ya kuweka Windows update baada ya siku zaidi ya 30 hapo itakufaa sana.
 
Kama nilivyoseMa hapo juu nina laptop aina ya Microsoft surfaceGo ina windows 10, ninapotaka kuiNgia kwenye mtandao huwa natumia WIFI au USB TITHERING kuunganisha network toka kwenye simu. Lahaula jana nimeNunua gb 1 ndani ya dk 20 zikawa zimebaki mb 480. Sasa nifanyeje kuzuia au kupunguza ulaji?
Nkushauri usifunge updates weka gb za kutosha iache idownload updates mpaka ifike update ya mwisho ya windows 10, basi itaacha. Mimi kama kuna windows naikubari ni windows 10. Ukiruhusu iwe ina jiupdate kwanza inakuwa stable na hutohitaji kuwa unashusha shusha windows.
 
Back
Top Bottom