tangazo /hitaji lako halijakamilika mkuuNahitaji laptop used anae uza awe anaiuza kwa lengo la kutaka pesa atatulie shida inayo mkabili
shida yako laptop au unataka kumtatulia mtu shida inayomkabili?anae uza awe anaiuza kwa lengo la kutaka pesa atatulie shida inayo mkabili
TAJA SPECIFICATIONOk namaanisha ya kwamba laptop nzuri ila anaiuza kwa shida zinazo mkabili
ungesema hivyo sio kuanza kubagua wauzaji. sijui awe ana shida. sasa wewe shida yake inakujaje kwenye mauziano.Shida yangu ni laptop nzuri kwa bei nafuu
DAAH HAYA MKUUURam kuanzia 3 na battery vumilivu,aina yoyote
Poa sana mkuu kariakoo mtaa gani ila nina laki tatu kushuka chini naweza kupata kama kwa laki 2 na 70 hivi?Bei nafuu shingapi sasa kama laki tatu nakueendelea hata kariako mpya kwenye maduka ya wahindi unapata ambayo hajachachuliwa kabisa acha na used hakuan used laptop nzima unaweza kukuta inatatizo la battery haotunzi chaji au wire kupelaka chaji unazungua
Anachokitafta atakipataKuna jamaa wanalala rumande leo kwa biashara ya kuuziana lapatop used kumbe ilikuwa ni ya wizi, nakupa tahadhari kuwa makini sana ndugu