Laptop haingizi chaji wala kuwaka kabisa japo adapter yake iko njema

Gibeath-Elohimu

JF-Expert Member
Jan 5, 2014
487
698
Wasalam ndugu wana bodi,

Natumai miongoni mwetu humu ndani wako wabobezi wengi sana wa maswala ya mifumo ya computer.

Hivyo basi naomba kuwasilisha tatizo langua kwenu wataalam Wa maswala haya nikitegemea msaada wenu wa ushauri na hata utatuzi.

Ni kama miezi miwili sasa machine yangu (laptop) haingizi chaji wala kuwaka kabisaa,adapter yake iko njema.....nimekwama kujua tatizo ni nini hasa.....machine ni aina ya HP 630.

Kama kuna Fundi au mtaalam yoyote yule miongoni mwenu ambaye ataweza nitatulia tatizo hili,Tafadhali naomba kupitia uzi huu nijulishe nami nitashukuru sana.

Ahsante sana kwa ushauri na michango yenu kwa hili.
 
Daaah.....wataalam wa JF ina maana ufumbuzi Wa hii kitu haupo au ndo kunipotezea wajameni.....mwenyewe kujua hili wazaya nisaidieni....ahsanten.
 
Daaah.....wataalam wa JF ina maana ufumbuzi Wa hii kitu haupo au ndo kunipotezea wajameni.....mwenyewe kujua hili wazaya nisaidieni....ahsanten.
Hapo itakuwa power system ndo inazingua.
Haiingizi charge kabisa?
Kutowaka kwake ilizima ghafla au uliitumia mpka charge ikaisha?
Jaribu kutoa bettry then connect na adapter uwashe tuone inakua VP?
Utanipa feedback.
 
Hapo itakuwa power system ndo inazingua.
Haiingizi charge kabisa?
Kutowaka kwake ilizima ghafla au uliitumia mpka charge ikaisha?
Jaribu kutoa bettry then connect na adapter uwashe tuone inakua VP?
Utanipa feedback.


Ahsante sana ndugu kwa mchango wako.

Tatizo la PC yangu ni kuwa haingizi chaji kabisaa,yaani niliicha na chaji kidogo Jana yake hivyo asubuhi niliiwasha haikuwaka,nilidhani issue itakuwa chaji imeisha nika plug charger kwenye umeme.....wala haikuonyesha kuingiza,pia nilipo jaribu kuiwasha haikuwaka......nilijaribisha charger yake kwenye PC nyigine ilikuwa inaingiza moto kama kawaida......nilitoa battery na kurudishia lkn wapi......yaani ndo nimekwama mpaka Leo......so natafuta Fundi au mtaalam yoyote yule anayeweza nitatulia hili.

Ahsante sana sana ndugu yangu kwa mchango kwako natumai Maelezo yangu hapo juu yanaweza kukupa mwanga zaidi na kujua tatizo lake na kunishauri zaidi.
 
Ahsante sana ndugu kwa mchango wako.

Tatizo la PC yangu ni kuwa haingizi chaji kabisaa,yaani niliicha na chaji kidogo Jana yake hivyo asubuhi niliiwasha haikuwaka,nilidhani issue itakuwa chaji imeisha nika plug charger kwenye umeme.....wala haikuonyesha kuingiza,pia nilipo jaribu kuiwasha haikuwaka......nilijaribisha charger yake kwenye PC nyigine ilikuwa inaingiza moto kama kawaida......nilitoa battery na kurudishia lkn wapi......yaani ndo nimekwama mpaka Leo......so natafuta Fundi au mtaalam yoyote yule anayeweza nitatulia hili.

Ahsante sana sana ndugu yangu kwa mchango kwako natumai Maelezo yangu hapo juu yanaweza kukupa mwanga zaidi na kujua tatizo lake na kunishauri zaidi.

Uko wapi mkuu kama upo dar ni pm
 
Chomoa battery then fanya direct connection ie PC without battery + adapter na uiwashe..uone km itawaka. Ikiwaka then usichomoe adapter,hivyohivyo ikiwa inawaka plug in battery.
Jrb hvyo several time then unipe feedback.
 
Chomoa battery then fanya direct connection ie PC without battery + adapter na uiwashe..uone km itawaka. Ikiwaka then usichomoe adapter,hivyohivyo ikiwa inawaka plug in battery.
Jrb hvyo several time then unipe feedback.


Poa poa ndugu....ahsante kwa ushauri wako.....wacha nijaribu hii kitu then nitakupa mrejesho chap chap...Barikiwa sana.
 
Back
Top Bottom