Laptop, bei boa kabisa

Laptop, bei boa kabisa

rashidjumanne

Member
Joined
May 2, 2013
Posts
40
Reaction score
3
Habari!!,tunapenda kuwajulisha kuwa tunauza laptop used/mtumba za aina mbalimbali,mfano,hp,dell,accer n.k kwa bei safi kabisa ya kuanzia tsh 250000 tu,na pia tunazo min laptop.
Tupo Kariakooo

Call 0675531833/0653779235
 
Accer ndogo kama unayo yenye hali nzuri inaendaje mkuu? Naomba uweke specs zake tafadhali.
 
Tsh 500,000/- utanipa computer yenye sifa gani !?
 
Mkuu weka specs hata kidogo kam RAM, HDD ni size ngapi?
 
weka picha na bei zake biashara itakuwa rahisi zaidi kuliko tena tuanze kukutafuta whats app.
 
Back
Top Bottom