Land cruser for sale

Land cruser for sale

Mjasiria Akili

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
823
Reaction score
372
Land cruser ya mwaka 1992
Ipo na hali nzuri bei ml 20
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1373732893514.jpg
    uploadfromtaptalk1373732893514.jpg
    48.9 KB · Views: 214
Ipo hivi
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1373734731804.jpg
    uploadfromtaptalk1373734731804.jpg
    56.4 KB · Views: 170

Si kama nakukatisha tamaa ila kwa bei ya soko ilivyo kuuza m20 hutaweza, cause gari ya aina hiyo hata ukiagiza japan gharama zote mpaka kuitoa bandarini bado haifiki hiyo 20

watajie wanunuzi bei muafaka pia weka picha nyingi mbalimbali mpaka za ndani
 
......haya sio yale yalokuwa yametaifishwaaaaa
 
Si kama nakukatisha tamaa ila kwa bei ya soko ilivyo kuuza m20 hutaweza, cause gari ya aina hiyo hata ukiagiza japan gharama zote mpaka kuitoa bandarini bado haifiki hiyo 20

watajie wanunuzi bei muafaka pia weka picha nyingi mbalimbali mpaka za ndani
Mkuu mara ya mwisho umeingiza gari lini toka JP?
 
Mkuu me ninayo land cruiser V8 Lexusautomatic,ya 2001 black colour,waweza nicheck thru 0659604089,nipo Dar

Mkuu Abdillajr; Ni ajabu na kweli kwamba hela ya kununua gari kama hilo V8, naweza kuwa nayo, ila ya mafuta sina, na sitaweza kuwa nayo nadhani siku zote za maisha yangu. Hongera sana kwa kumiliki mchuma kama huo
 
Si kama nakukatisha tamaa ila kwa bei ya soko ilivyo kuuza m20 hutaweza, cause gari ya aina hiyo hata ukiagiza japan gharama zote mpaka kuitoa bandarini bado haifiki hiyo 20

watajie wanunuzi bei muafaka pia weka picha nyingi mbalimbali mpaka za ndani

Usidanganye watu kaka. Hakuna mahali unaweza kupata cruiser kama hiyo kisha ukaileta kwa chini ya 20m. Kwanza kuzikuta kwenye mitandao hizo gari ni nadra, kwa sababu zimetengenezwa kwa ajili ya Afrika na Australia tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom