Lameck Ditto: Moyo sukuma damu

Wimbo mzuri[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]na muimbaji nae
 
Tayari ushapigwa tukio.mapenzi bhana.kizunguzungu.
 
Hata Mimi nilipozinguliwa na demu wangu ndo ulikuwa wimbo wangu.lakin sasa mambo safi naona wa kawaida.sasa hivi naupenda benediction.
 
Ngoma yangu kwa sasa kwenye list
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…