Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kaka acha nilikaa miezi 7 huko , nimeona mengi mabaya in short kuna vipigo , na ukiwa mgeni afu laini laini umetoka kuendesh vi brevis hata makalio hayajakaza utasikia oya chakula changu ale huyo na kazi zake ntafanya Mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kutuseti hakuna mfungwa mwenye uwezo wa kumfanyia kazi mfungwa mwenzake.Kaka acha nilikaa miezi 7 huko , nimeona mengi mabaya in short kuna vipigo , na ukiwa mgeni afu laini laini umetoka kuendesh vi brevis hata makalio hayajakaza utasikia oya chakula changu ale huyo na kazi zake ntafanya Mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu sijui.. Hawa jamaa wanaona watu waoga sana kumbe wao ndio waoga Jela kwetu si disco hapakwepekiAcha kutuseti hakuna mfungwa mwenye uwezo wa kumfanyia kazi mfungwa mwenzake.
.
Iwe kazi za ndani ya gereza au nje nasisitiza HAIWEZEKANI NA HAIPO TANZANIA eleza ni gereza la wapi hilo
Mkuu kuhusu kuliwa tigo kwa lazima ni kweli??Kaka acha nilikaa miezi 7 huko , nimeona mengi mabaya in short kuna vipigo , na ukiwa mgeni afu laini laini umetoka kuendesh vi brevis hata makalio hayajakaza utasikia oya chakula changu ale huyo na kazi zake ntafanya Mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mahali nimesema kumfanyia kazi mfungwa mwingine???Acha kutuseti hakuna mfungwa mwenye uwezo wa kumfanyia kazi mfungwa mwenzake.
.
Iwe kazi za ndani ya gereza au nje nasisitiza HAIWEZEKANI NA HAIPO TANZANIA eleza ni gereza la wapi hilo
Huyo unayemsema kabadilika ( sugu)Sijajua watu wanaovunja sheria mtaani , kuiba , kubaka , kukaba watu , kutukana viongozi na makosa mengineyo kama wanajua maisha ya gerezani yalivyo na mateso na msoto mkubwa sana mwanzo mwisho.
Huwa nawashangaa sana baadhi ya watu. From nowhere mtu anaamua kuvunja sheria tu halafu anakuwa kauzu.
Unajua gerezani kulivyo wewe? Usingethubutu.
Angalia mtu kama Godbless Lema , Joseph Mbilinyi walivyobadilika sasa hivi baada ya kukaa ndani kwa siku chache tu.
Gerezani pasikie tu jamani.
Usifanye kosa , usijifanye mjuaje na usitake kugombana na mtu kabisa. Utapotea !
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamjui sugu huyo popoma.Huyo unayemsema kabadilika ( sugu)
Kabadilikaje? Mbona juzi Tena kaingia matatani kwa kukosoa vitambulisho vya machinga vitolevyo na rais MAGUFULI
Sent using Jamii Forums mobile app