humphrey_on_th_forum
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 275
- 222
Soma hapa 👇 na muda mwingine uache kuona kila mtu ni mpuuziKuna mahali nimesema kumfanyia kazi mfungwa mwingine???punguza mwendo mbele kuna bamsi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanijibu mkuu anasema hakuna mahala kasema kuna mfungwa anaweza kumfanyia kazi mwenzake namtafakari sana simmalizi sijui ni mjinga sijui haoni alichokiandika sielewiAkikujibu sijui.. Hawa jamaa wanaona watu waoga sana kumbe wao ndio waoga Jela kwetu si disco hapakwepeki
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa ili tumalize ubishi kuwa ulisema au hukusema soma chini alafu uniambie nikuite jina ganiKuna mahali nimesema kumfanyia kazi mfungwa mwingine???punguza mwendo mbele kuna bamsi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka acha nilikaa miezi 7 huko , nimeona mengi mabaya in short kuna vipigo , na ukiwa mgeni afu laini laini umetoka kuendesh vi brevis hata makalio hayajakaza utasikia oya chakula changu ale huyo na kazi zake ntafanya Mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usitishe watu as if hawajawahi kwenda. Ni muda mfupi nimewah kuonja huko. Inategemeana na ww mwenyewe ukoje na kesi yako ina uzito gani.Sijajua watu wanaovunja sheria mtaani , kuiba , kubaka , kukaba watu , kutukana viongozi na makosa mengineyo kama wanajua maisha ya gerezani yalivyo na mateso na msoto mkubwa sana mwanzo mwisho.
Huwa nawashangaa sana baadhi ya watu. From nowhere mtu anaamua kuvunja sheria tu halafu anakuwa kauzu.
Unajua gerezani kulivyo wewe? Usingethubutu.
Angalia mtu kama Godbless Lema , Joseph Mbilinyi walivyobadilika sasa hivi baada ya kukaa ndani kwa siku chache tu.
Gerezani pasikie tu jamani.
Usifanye kosa , usijifanye mjuaje na usitake kugombana na mtu kabisa. Utapotea !
Sent using Jamii Forums mobile app
Stori za vijiweni hizo jela ukibainika unataka kumla jicho mwenzio against his willing adhabu take utajuta kuzaliwaKaka acha nilikaa miezi 7 huko , nimeona mengi mabaya in short kuna vipigo , na ukiwa mgeni afu laini laini umetoka kuendesh vi brevis hata makalio hayajakaza utasikia oya chakula changu ale huyo na kazi zake ntafanya Mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Adhabu kama nn?Stori za vijiweni hizo jela ukibainika unataka kumla jicho mwenzio against his willing adhabu take utajuta kuzaliwa
Kazi ngumu sambamba na kipigo au hata kuongezewa mwaka na kazi ngumu juu.
stories zake za vijiweni. watu hawajui tu hakuna kosa kubwa gerezani km kujaribu kumla jicho mwenzio ukibainika utapata tabu sana labda m2 aamue kukutunuku mwenyew kwa hiyari yakeKanijibu mkuu anasema hakuna mahala kasema kuna mfungwa anaweza kumfanyia kazi mwenzake namtafakari sana simmalizi sijui ni mjinga sijui haoni alichokiandika sielewi
Acha kutuseti hakuna mfungwa mwenye uwezo wa kumfanyia kazi mfungwa mwenzake.
.
Iwe kazi za ndani ya gereza au nje nasisitiza HAIWEZEKANI NA HAIPO TANZANIA eleza ni gereza la wapi hilo
Analeta mambo ya Michael Scofield wakati hayana uhalisia.Kuna Mtazamo wa maisha ya jela kwa stori za kijiweni au kwa kusimuliwa....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Nyerere ilibidi aende gerezani ili babu au baba yako,, au bibi au mama yako, asiendelee kufanyiwa kitu mbaya na wazungu. Acha mawazo ya kitumwa, jikomboe kifikra.Angalia mtu kama Godbless Lema , Joseph Mbilinyi walivyobadilika sasa hivi baada ya kukaa ndani kwa siku chache tu.
kam uliweza kukaa tumbon kwa bi mkubwa wako miezi 9, cdhani kama utashindwa vtu vdogo hivo!Sijajua watu wanaovunja sheria mtaani , kuiba , kubaka , kukaba watu , kutukana viongozi na makosa mengineyo kama wanajua maisha ya gerezani yalivyo na mateso na msoto mkubwa sana mwanzo mwisho.
Huwa nawashangaa sana baadhi ya watu. From nowhere mtu anaamua kuvunja sheria tu halafu anakuwa kauzu.
Unajua gerezani kulivyo wewe? Usingethubutu.
Angalia mtu kama Godbless Lema , Joseph Mbilinyi walivyobadilika sasa hivi baada ya kukaa ndani kwa siku chache tu.
Gerezani pasikie tu jamani.
Usifanye kosa , usijifanye mjuaje na usitake kugombana na mtu kabisa. Utapotea !
Sent using Jamii Forums mobile app