Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,551
Sijajua watu wanaovunja sheria mtaani , kuiba , kubaka , kukaba watu , kutukana viongozi na makosa mengineyo kama wanajua maisha ya gerezani yalivyo na mateso na msoto mkubwa sana mwanzo mwisho.
Huwa nawashangaa sana baadhi ya watu. From nowhere mtu anaamua kuvunja sheria tu halafu anakuwa kauzu.
Unajua gerezani kulivyo wewe? Usingethubutu.
Angalia mtu kama Godbless Lema , Joseph Mbilinyi walivyobadilika sasa hivi baada ya kukaa ndani kwa siku chache tu.
Gerezani pasikie tu jamani.
Usifanye kosa , usijifanye mjuaje na usitake kugombana na mtu kabisa. Utapotea !
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa nawashangaa sana baadhi ya watu. From nowhere mtu anaamua kuvunja sheria tu halafu anakuwa kauzu.
Unajua gerezani kulivyo wewe? Usingethubutu.
Angalia mtu kama Godbless Lema , Joseph Mbilinyi walivyobadilika sasa hivi baada ya kukaa ndani kwa siku chache tu.
Gerezani pasikie tu jamani.
Usifanye kosa , usijifanye mjuaje na usitake kugombana na mtu kabisa. Utapotea !
Sent using Jamii Forums mobile app