mwanamalundi90
Senior Member
- Jun 12, 2016
- 177
- 137
H
Inabidi uende kwenye mkoa husika ndio uchukue laini huko. Maana masharti ni pamoja na kuhudumiwa na wakala wako,sasa ukiwa mkoa mwingine wakala wako hatoweza kukuhudumianikihitaji kufanya nayo kazi mkoani haitowezekan?
doneau ukinipm ntaweza kukujibu tuzungumze biashara
oooh shukranInabidi uende kwenye mkoa husika ndio uchukue laini huko. Maana masharti ni pamoja na kuhudumiwa na wakala wako,sasa ukiwa mkoa mwingine wakala wako hatoweza kukuhudumia
karibuoooh shukran
Laini zinapatikana siku zote na muda wote kwenye ofisi za mawakala wakuu.Inachukua muda gani kupata line ya tigopesa? Taratibu hizi zinafanyika ofisi gani ya tigo hapa dar?
Mimi nipo kigamboni mkuu..Laini zinapatikana siku zote na muda wote kwenye ofisi za mawakala wakuu.
Kwa Dar es salaam laini zinapatikana kila Wilaya kwa mawakala wakuu wa eneo ulilopo.
Niambie upo dar sehemu gan(unataka kufanyia biashara sehemu gani) ili nikuelekeze wakala mkuu wa eneo ulilopo ili upate msaada.
kwa maelekezo zaidi karibu PM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali chief. Nimekuelewawenzio waliosomea masuala ya masoko huwa wanaweka namba zao kwenye matangazo yao.