Laini ya uwakala Mpesa inauzwa

Laini ya uwakala Mpesa inauzwa

Ndugu mm sio tapeli kihvo atakaetaka kununua anunue tu kwa imani kuu kwan namba ya siri ataibadlisha mwenyewe ndo nmkabidhi sasa huo wizi utafanyika vip
 
tatizo wabongo mnataka kitu kisicho na kasoro mtaani. jamaa kashasema anauza laki na nusu maramshaanza kuleta habari za utafanyia watu kazi, mara ya kesi.. ndo nyie mnaotaka nguo ya dukani mtumbani. kama hauna ela kaa kimya.
 
sasa hv unanunua lain kwa mtu, unaweka float, kumbe wenzako wana mbinu zao salio linachotwa, hujui limepita wapi, tuwe makin na hizi lain za kununua kwa watu,
we inaonekana hujui kabisa hz mambo za float zinaendaje. bora ukakaa kimya.
 
Nunua basi wewe mwenye hela, ila kesho sio urudi kulialia hapa.
tatizo wabongo mnataka kitu kisicho na kasoro mtaani. jamaa kashasema anauza laki na nusu maramshaanza kuleta habari za utafanyia watu kazi, mara ya kesi.. ndo nyie mnaotaka nguo ya dukani mtumbani. kama hauna ela kaa kimya.
 
tatizo wabongo mnataka kitu kisicho na kasoro mtaani. jamaa kashasema anauza laki na nusu maramshaanza kuleta habari za utafanyia watu kazi, mara ya kesi.. ndo nyie mnaotaka nguo ya dukani mtumbani. kama hauna ela kaa kimya.
Mjini shule shamba kilimo karibu jamiiforums
 
tatizo wabongo mnataka kitu kisicho na kasoro mtaani. jamaa kashasema anauza laki na nusu maramshaanza kuleta habari za utafanyia watu kazi, mara ya kesi.. ndo nyie mnaotaka nguo ya dukani mtumbani. kama hauna ela kaa kimya.
najua saaaaaaaaaaaaaaaaaanaa
 
Line za m pesa zinatolewa bureeeee, unatakiwa tu uwe na tin ya biashara then nenda Voda shop fasta unajipatia kitu
 
Back
Top Bottom