Laini ya m-pesa

Laini ya m-pesa

djesco

Senior Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
166
Reaction score
52
Habari wakuu nauza laini yangu ya uwakala wa m-pesa,bei tsh.180,000/=,nipo dar es salaam kwa anayetaka ani-PM kwa maongez zaidi
 
Mie nataka hiyo laini nipe namba yako ili tuweze kufanya biashara


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Huo ni utoto mnaoufanya mwenzenu kaanzisha uzi mnadandia. SI MWANZISHE NA NYIE ZENU? Kuweni wastaabu kama ulikuwa na nia ya kuuza ungeanzisha uzi wako mwenyewe ni tabia ya kishenzi
 
Huo ni utoto mnaoufanya mwenzenu kaanzisha uzi mnadandia. SI MWANZISHE NA NYIE ZENU? Kuweni wastaabu kama ulikuwa na nia ya kuuza ungeanzisha uzi wako mwenyewe ni tabia ya kishenzi

mi ninazo nauza anayehitaji ani pm tufanye biashara niko dar
 
Back
Top Bottom