Ladsous (FDLR founding father) at it again

Video is self explanatory lakini kwa mliyofanya 94 nini cha kushangaza ulichoandika,sad thing ni mbuzi wa humu JF wanaokupa support maana we know wewe ni more than mnyama,dawa yenu ni moja tuu kuwasafisha
Mnasubiri nini sasa kusafisha? Hayo mauaji ya kimyakimya mnayoyafanya dhidi ya wahutu wa Rwanda, siku moja mtajuta. Halafu hayo matusi unayotukana yanaonesha jinsi ulivyoishiwa hoja.
 
Mnasubiri nini sasa kusafisha? Hayo mauaji ya kimyakimya mnayoyafanya dhidi ya wahutu wa Rwanda, siku moja mtajuta. Halafu hayo matusi unayotukana yanaonesha jinsi ulivyoishiwa hoja.
Angalia video ya ndugu yako hapo juu then utajua nimeishiwa hoja,sielewi hata kwa nini why wanajaribu to make any deal na wendawazimu kama nyie,huyo mchinjaji kwenye video unaye support na wewe unayeona its OK mnaweza vipi kuendelea kuishi in normal society? wehu kama nyie hamtakiwi kuishi karibu na binadamu wa kawaida
 
UN hawana haja ya kuingia mtaani kuona Burundi..wakimbizi,video,pictures, witnesses etc vyote vipo and well documented for the World to see kinachoendelea Burundi,nakuhakikishia time will come mtajibu kila kitu
 
UN hawana haja ya kuingia mtaani kuona Burundi..wakimbizi,video,pictures, witnesses etc vyote vipo and well documented for the World to see kinachoendelea Burundi,nakuhakikishia time will come mtajibu kila kitu
Zile mnazopiga nyinyi? There is no time that speaks, keep on waiting......... ..At last In vain
 
Mimi binafsi najisikia vibaya kuona watanzania mnajingiza kwa maswala ya burundi na siasa za Rwanda, kifupi haya mambo sisi hayatuhusu. Pili tunatakiwa kuangalia na kujenga nchi yetu. Mambo ya warundi waachie wao, mambo ya wanyarwanda waachie wao mambo ya waganda na wakenya waachie wao. Ni Wakati wakujenga nchi yetu
 
GOOD POINT! but only!! only "if" you can set your mind free and accept the reality... not just talk!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…