Huu msemo wa wanaume wa Dar huu, siku si nyingi wanaume wa dar hawataacha mtu salamaHuyu ni mwanamke..
Amejenga nyumba yake unahamia kwake na rambo yako bado uko na wanaume wenzako nasema naenda nyumbani...... ha ha ha ha my friend akili kukichwa wanaume wenzako wanakucheka.... hujui ada ya mtoto wa bili ya umeme/maji kataa kubali wewe ni house boy tuu kinachokufanya usilala nje ni ile shughuli yake ya usiku........
Wanaume wa Dar nani aliwaloga kwa kweli hii ni shida jingonezeni jamani khaaa
They say, desperate times calls for desperate measures!
Lakini wadada wa kibongo skuhizi buana nawapenda sana, sio kwa kujiamini huku!
kuna rafkiangu ametoka kuni surprise leo, kaniambia kuwa alikuwa na bwana wake, for 3yrs hakuona kabisa dalili ya jamaa kumuoa
Siku moja akaamua kumtoa out bwanake, wakiwa wanakula, wanafurahi, wanapata dessert, my friend akamwambia bwana, unaonaje tukioana?
Jamaa yake anatoa macho, abamwuliza kweli?
My friend: Yes, why not, hatuna cha kupoteza u know na tumefahamiana vya kutosha
Jamaa: ok no problemo!
Wakamalizia show kwa room, hakukuwa na pete ya kuvishwa wala nini, na harusi yao ni jumamosi ijayo
You see ladies, this is the new improved way of how to get away with marriage, ukisuburi fairy tale, Romeo and Julieth Bado hawajaamka usingizini ivooo?! Usije subiri miaka 2000 kurudi kwa Yesu.
Desperate times calls for desperate measures!
Ndo ivo akina dada mjitoe ufahamu sio kunataa
Huu msemo wa wanaume wa Dar huu, siku si nyingi wanaume wa dar hawataacha mtu salama
Wamekufanya nini wanaume wa DarWenyewe wako salama? ndio wanaume wa Dar wajiongeze jaman khaa
Sijawahi shindwa,Utaniwezaa?!
Me ni high class babe lkn
Unajuwa Wanaume huwa kuna wanawake tunajua kabisa huyu anafaa kuoa na kuwekwa ndani ya mjengo na kuna wengine kutokana na wanavyojiweka huwa tunajua tu huyu ni wakujilia papuchi hata atumie hiyo njia uliyo itaja ni kazi bure.
Ok,sawa.mhh siyo kila kitu huenda sawa kwa kila mtu, so some may be well or not well.
We wadanganye wenzio tu,They say, desperate times calls for desperate measures!
Lakini wadada wa kibongo skuhizi buana nawapenda sana, sio kwa kujiamini huku!
kuna rafkiangu ametoka kuni surprise leo, kaniambia kuwa alikuwa na bwana wake, for 3yrs hakuona kabisa dalili ya jamaa kumuoa
Siku moja akaamua kumtoa out bwanake, wakiwa wanakula, wanafurahi, wanapata dessert, my friend akamwambia bwana, unaonaje tukioana?
Jamaa yake anatoa macho, abamwuliza kweli?
My friend: Yes, why not, hatuna cha kupoteza u know na tumefahamiana vya kutosha
Jamaa: ok no problemo!
Wakamalizia show kwa room, hakukuwa na pete ya kuvishwa wala nini, na harusi yao ni jumamosi ijayo
You see ladies, this is the new improved way of how to get away with marriage, ukisuburi fairy tale, Romeo and Julieth Bado hawajaamka usingizini ivooo?! Usije subiri miaka 2000 kurudi kwa Yesu.
Desperate times calls for desperate measures!
Ndo ivo akina dada mjitoe ufahamu sio kunataa
Hapo ndo utajua kwann 1 ni 1 .Ahahaha
Ngumu kumeza
Bro me nishaolewaga miaka 20 iliopita
Unichangie nini labda?!
Unichangie unaniboa? ! Nimekuombaaa? !
Au unaomba kijanja kuja kwenye sherehe ya jumamosi? !
Hahaha pesa penny ,,, unamezea tu na maziwaAhahaha
Ngumu kumeza