Sina neno kabisa mkuu kuhusu hayo mamboUnatuachaje swaiba
Mshana jr watch it hapo ni counterMabinti zake Lutu baada ya angamizo la Sodoma lililoondoka na mama yao mzazi.... Pamoja na nia yao ya kuendeleza KIZAZI lakini pia hamu(ashiki!) Viliwatuma wapange ku do na baba yao mzazi View attachment 592265hakuna asiyejua nguvu ya mvinyo hasa kwa wale madomo zegelakini pia kuna ladha yake very amazing when you are high with redwineand some alcohol in your spinebila kusahau ngumu kumeza! Ndomu kitu gani bana! Wengi wameangamia Samson wa Delilah ni mmojawapo
Kipochi manyoya hakina adabu kabisa kile kidude... KIONE!!!!sura mbaya LAKINI MWANA!USIPIME
kajiimbia Mwasiti 'Sio kisa pombe mama/my?! Acha kabisa ANAJUA
Kwani mtu kuandika kuhusu pombe hajiheshimu??au mtu anaekunywa pombe hajiheshimu?mtu anaejiheshimu pia hatakiwi kutoa hata jokes??...the one and onlyMi kuna mtu alinambia unajiheshimu watu kwa uwongo
Ni kweli nini mkuu??kwamba unajiheshimu au watu waongo?Ni kweli kabisa
Joke iko wapi hapo ,mtu alinambia huyu mukuu anajiheshimu sana, hapa anahamasisha ulevi na uzinifu bila anachokiita ndomuKwani mtu kuandika kuhusu pombe hajiheshimu??au mtu anaekunywa pombe hajiheshimu?mtu anaejiheshimu pia hatakiwi kutoa hata jokes??...the one and only