dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,402
- 15,982
Kwa haraka nimesikia analalmikiwa Shafih Dauda kwa kuongea na mchezaji ili awe wakala wake wakati mchezaji tayari ana management yake inayomsimamia
Namuona Kitenge wa Wasafi fm akichochea kuni ili kusud Shafih aonekane kuwa ni tapeli wa wachezaji
Je, ni nani mwenye ukweli na taarifa kamili juu ya huyu dogo anasemaeka hivi sasa kasign wekundu wa msimbazi
Asante sana kwa leo ni hayo tu
Safarini kuelekea Mabibo DSM.
Namuona Kitenge wa Wasafi fm akichochea kuni ili kusud Shafih aonekane kuwa ni tapeli wa wachezaji
Je, ni nani mwenye ukweli na taarifa kamili juu ya huyu dogo anasemaeka hivi sasa kasign wekundu wa msimbazi
Asante sana kwa leo ni hayo tu
Safarini kuelekea Mabibo DSM.