Laana ya mapenzi

nakumbuka sana nlivyoitunza hadi nikiwa university second year , nkaona nimepata kumbe nilipatikana duuu nilimchukia yule kijana aiseee alinipa definition ya kibuti

Ya wapi mkuu...BTW Pole sana
 
nakumbuka sana nlivyoitunza hadi nikiwa university second year , nkaona nimepata kumbe nilipatikana duuu nilimchukia yule kijana aiseee alinipa definition ya kibuti

Pole sana mamii kwanini uliitunza paka chuo kikuu?
Ili iweje labda?
 
Wadau naomba mnisaidie.

Kuna ukweli wowote kuwa ukitoa bikra ya mwanamke unakuwa umeingia naye kwenye agano?

Na pindi utakapomuacha akawa anakulalamikia kuna laana yeyoyete inayoweza kukupata?

Agano ladamu baya sana aisee
 
Hamna ukweli! Wowote! unamtoa bikira! Na anakusahau kama kawaida!! Mwanamke atakukumbuka tu kama,ulimjari,ulimuheshimu, na ulimpenda pia! Na ni pale atakapoingia mahusiano mapya! Nakukuta khali tofauti!! Lakini Et Bikira Akukumbuke daima! Atakuesabu tu!!
 
niioa asiye na bikra ina maana sina ahadi naye? Anapomwaga damu wakati wa hedhi anakuwa na ahadi na nani? Ikiwa kila ninympata hana bikra ina maana Mungu hakuniandalia mke? Wacha imani potofu
Afadhali umeuliza mdogo wangu,

Usithubutu kutoa bikra ya binti yoyote, laana itakupata wewe hadi watoto wako wa kike, acha kabisa.

Subiri hadi uoe ndio ufanye ngono, sawa???????????
 
niioa asiye na bikra ina maana sina ahadi naye? Anapomwaga damu wakati wa hedhi anakuwa na ahadi na nani? Ikiwa kila ninympata hana bikra ina maana Mungu hakuniandalia mke? Wacha imani potofu

Nina uhakika umenielewa ndivo sivyo.
 
Afadhali umeuliza mdogo wangu,

Usithubutu kutoa bikra ya binti yoyote, laana itakupata wewe hadi watoto wako wa kike, acha kabisa.

Subiri hadi uoe ndio ufanye ngono, sawa???????????
Hadi kizazi chake cha NNE.
 
Hakuna laana yoyote ktk mapenzi..yamkini ukisema umemtibua mwanandoa wako wa halali na wala hakua na makosa yoyote dhidi yako ila umefanya kwa makusudi tu hiyo naweza sema utapata misukosuko kama laana juu yako.lakini MUNGU analaanije kumtenga mtu ambae mlikua mnazini?sema mtaingia wote ktk laana ya uzinzi ili mpate hukumu ya MUNGU nyote wawili.mtoa mada labda ungekuja na swali linalosema ukilala na mwanaume/mwanamke ile roho ya huyo hukufuata muda wote maana ni kama mmeingia ktk mambo ya rohoni au sirini,lakini kusema ni laana nakataa.

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…